Michael p paweda kwenye nafasi kama hizi ni kosa kwa sababu watu wanamjua Nyerere na wanajua utendaji wakeHivi makongoro Nyerere akisema nichagueni kwa sababu nitafanya vizuri kama nyerere baba yangu ni kosa? Mimi nadhani tatizo ni kubwa zaidi ya watoto. Watz pia wanapenda kufuata upepo wa majina makubwa bila kujali kama majina hayo yameleta faida gani kwetu kama Taifa.
Kwa nini usipambane kama wewe ufanye kile ambacho unajua kitakuwa kwenye uwezo wangu badala ya kutumia umaarufu wa mtu mwingine kujitafutia kura
Yeye alikuw ana uwezo wake na hata kwa dawa huwezi kuufikia
Huwezi kufikia umaarufu wa mtu ila wewe una umaarufu wako na utumie kupata kile unachotaka na sio kuutumia wa mtu mwingine
Last edited by a moderator: