Kunafungo zina holder kama ya BMW nunua hiyo uwe untikisa tikisa kwenye maongezi nasikia hao watu wanapenda sana wakijua unatembea huku umekaa
Kwa hiyo unashauri afanye dhambi ya uzinifu kabla ajafariki sio?Akifariki bado atakuwa anayafanya hayo mambo?
Kwanini usimshauri aoe kabisa kuliko kumshauri aende kwenye maangamizi ya zinaa kama unaona umri wake tayari?usiwasikilize hao wanafiki, mtu wa miaka 21 unamuambia asubiri nini sasa.
tuwe fair jamani haya mambo yapo,age kama hizo hormones zipo high high na inaonyesha amesha make his mind.kikubwa kijana play safe usifanye kitu kama haupo tayari.vile vile usiyaendekeze sana. elimu pia iweke kipao mbele hayo mapenzi yapo kila siku,usiwe mtu wa kubadilisha badilisha,dunia ya leo haifai kufanya hivyo.just be careful.hala hala kinga.
Mkuu umesahau kama yuko Bongo anunue pendrive halafu aivae shingoni....
hakuna anaependa uzinzi,nina amini kwa umri wake,anajua zuri na baya,yeye kama yeye ameshaamua,hata kama ukimwambia asifanye atafanya tu.bora a play safeUmemshauri vizuri..............ila kwa kuwa hajasema kama ameshindwa kabisa kuendelea kusubiri.................si sahihi kumsindikiza huko uzinzini kimawazo/kiushauri................kutumia kinga ni last option kwa kijana wa aina hii.Ajitahidi kuendelea kusubiri.
Homonies zinapochemka si lazima zikazimishwe kwa sex(uzinzi)....................
Hebu jiulize,yeye ana 21yrs.............huyo binti anayesubiriwa chumbani ana umri gani?...........mpaka atakapofikia umri wa kuolewa atakuwa ameshatuliza hormonies za wavulana wangapi?...........kwasababu what they want at that age......ni kushusha ule mhemko unaotokana na hormonies tu..................na si vinginevyo.
Si tunawaona hapa kila siku......"ooh nimekuta wabaridi"......."ooh sijui hana ladha",n.k.......zote hizo huwa ni sababu tu.......kwa kuwa wameshatoa kiu.
Hivi hayakuumi hayo kama mwanamke.......mlezi/mzazi wa baadae?
Basi hakuna haja ya kuwa na majumba ya ibada, wala kwenda kuomba uko, kwa maana kila mtu anajuwa zuri na baya.hakuna anaependa uzinzi,nina amini kwa umri wake,anajua zuri na baya,yeye kama yeye ameshaamua,hata kama ukimwambia asifanye atafanya tu.bora a play safe
hakuna anaependa uzinzi,nina amini kwa umri wake,anajua zuri na baya,yeye kama yeye ameshaamua,hata kama ukimwambia asifanye atafanya tu.bora a play safe
Kwanini usimshauri aoe kabisa kuliko kumshauri aende kwenye maangamizi ya zinaa kama unaona umri wake tayari?
Yaani mpango ndo huo nipe ushauri wako!kwa hiyo ndo mnaenda kubanjuana ama kukutana kwa maongezi ya kawaida?:mod:
Umeona eeh!Unadhani kuoa ni rahisi kiasi hicho cha kuja kuchukua ushauri hapa JF.
Jamani niambie nifanye nini ili huyu binti ninayeenda kukutana nae jmosi asinione boya maana sijawai kuwa na msichana tangu nibalee!