Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Jamaa mmoja aliamua kujitoma pale IFM kutafuta totoz kwa staili ya aina yake pale alipoamkabidhi business cards zake mmoja wa wauza vioski nje ya geti opposite na wizara ya afya huku akimpa maelezo kuwa awape mabinti wakali atakaowaona. Pia alimueleza kuwadi wake kuwa anapowakabidhi business card awaambie kuwa huyu jamaa kakuzimia na alikuona ila kaniomba nikupatie contact zake....
Bila hiyana muuza kioski aliwakabidhi mabinti wakali kadhaa bila kujua mmoja wapo alikuwa mke wa jamaa ambaye anasoma hapo IFM postgraduate ya Finance. Mkewe alipoona business card ya mumewe alistuka sana akaamua kununua line mpya na kuanza kuwasiliana nae kwa siri hadi siku ya miadi ilipofika jamaa akatahamaki anakutana na mkewe ilikuwa bonge la soo ila jamaa akageuza kibao kwanini mkewe alikubali kupokea business card kwa mantiki kuwa isingekuwa mumewe basi inaonyesha mkewe yuko huru kujiachia na wengine....
Bila hiyana muuza kioski aliwakabidhi mabinti wakali kadhaa bila kujua mmoja wapo alikuwa mke wa jamaa ambaye anasoma hapo IFM postgraduate ya Finance. Mkewe alipoona business card ya mumewe alistuka sana akaamua kununua line mpya na kuanza kuwasiliana nae kwa siri hadi siku ya miadi ilipofika jamaa akatahamaki anakutana na mkewe ilikuwa bonge la soo ila jamaa akageuza kibao kwanini mkewe alikubali kupokea business card kwa mantiki kuwa isingekuwa mumewe basi inaonyesha mkewe yuko huru kujiachia na wengine....