Kwani hawezi kuja na watu wake wa Iramba Magharibi mjini Singida?
Mbona unaleta impossibles?
Nyalandu mwenyewe akiwa waziri wa Maliasili alikuwa anakula kwenye migahawa na watumishi Bomani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaleta impossibles?
Nyalandu mwenyewe akiwa waziri wa Maliasili alikuwa anakula kwenye migahawa na watumishi Bomani
Muwe mnauliza mueleweshwe aisee.
Sasa Singida mjini ndio jimbo la Mwigulu au Iramba Magharibi?
Sent using Jamii Forums mobile app