lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
Igweeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!
Nimewamisi sanaaa watu wangu wa nguvuuuu! Sikupanga kurejeaaaa ila imenibidiiii! Sio kwa ubuyuuuu huuuu!
Humu ndani kuna BOSS DE LA BOSS (NAOMBA NISEME HADHARANIIII SIO MONKEY) kuna shoga angu aliniambiaaaa nae wa humu humu kwamba ana rohoooo moja safiiii! Mzunguuu Sana wa nafsiiii! Ali pa million 10 kwa kukutana nae humu humu! Siku muaminiiii kabisaaa! Nikawa namuitikia kichinaaaa! Hivi hivi na uchumi wa Kati thubutuuuuu! Akaniambia Boss de la boss ni mtu poaaaa sanaaa! One in a million!
Basi katika enzi zangu humu nikapishana nae uso uso! Yaaani nilipishana Na gari la mshahara uso kwa uso! Boss de la boss ni domo zegeee so hatumiii nguvu! At that time alikuwa bado anaingia front mwenyewe! Akaja front kwangu kweli humu jukwaani wachawiiii! Tena wanga nuksiiii! Siwatakiii wakuuu wa vilinge! Boss de la boss alinijia Dm bila dunk! Leo nimeiangalia ile DM ndo baaaaaassss tenaaaa!
Mimi pia nilikuwa Gizani kama nyieeee! Sijui humu ndani kuna godiiiii maana sio mgodi wa URANIUM! Hatariiiii!
5 years later dunia imenikutanisha tenaaaa Na BOSS DE LA BOSS! Nishakuwa mzeee! Titi zinachuma tembeleee! Nanuka vitunguuu na JIKO! Baaaaaaaassss tenaaa! Kuisha habariiii yangu kabisaaa!
Sina hili wala lile nipo zangu kwenye biashara zangu napigiwa simu Na watoto wa mjiniiii wa bichiiiii chuchu konsiiii! Nikawaambia nani kafaaaa mpaka mnanitafutaaaa! Si bureeeee! Aaaaah wakaniambia Punguza jazbaaaa hajafa mtu! Kuna kaziiii kama inakuja kama inakataaaa! Kama ukiwa kazi ujue kazi hiii si ya kitoto kwa sisi watoto wa Sinza! Ukubwa wake ni kama kazi ya Da Z Na yuleee msenegaliiii boss de la boss la UN mwaka 2009!( Hii story nitawapata siku nyingine)
Mmmmmhhh! Nikawaambia Punguzeni bataaaa! Mtadataaa! Tupo uchumi wa Kati sahivi! Kazi ya Z mchezooo alihongwa nyumba Sinza Moriiii Weeeeeee thubutuuu! Zilipendwa! Wakaniambia punguza munkariiii! Unamjua Mdananda Babu Hussein!!!!!!! Nilistukaaaaa! Nina miaka 10 sijasikia hili jina! Nikamuuliza Babu Hussein naemjiaaa mimi au rapa!!!! Nipe namba zake! Kuchekiii hivi ndieeeee! Aaaaaaah nikawaambia limeishaaa hili mko wapi nakuja huko huko!
Babu Hussein ndo mdanamnda wa WAZITO wengi sanaaa! Na line zake ni konkiiii! Japo ana njaaa kichiziiii! Line anakupa unatumika Na pesa mnaenda PASU kwa pasuuu! Ukimzingua anakutangazi una miwayaaaa line zote zina katika! Nuksiiii sanaaa hili chawa ila halinaga kazi mbovuuu! Ndo alitosa line ya Marehemu Tajiri la wachaga!
Baby Hussein kuna mda alienda kupiga mdananda Mozambique siku was Na taarifa kama alirudiiii! Nikamcheki Mwinyi mtoto wa Kino kama Babuuu kweli yupo mjiniii? Akaniambiaaa yupo tena wa motoooo Na kawa mtamuuu balaaa! Kawa chawa wa Ze Devil! Mmmmhhh! Nikamuuliza Mwinyi who is Ze devil? Akaniambia mama kata vitunguuu jiji limekuachaaa! Ze Devil sio tajiri mpyaaaa ila TAJIRIIII HAKATIKIWI PESAAAA!!!! Leo wala kesho! Ana pesa kama shetaniiiiii! Kama kuna mtu mapema line ya Ze DEVIL aitumie vizuriiii maaana kwa sasa ndo namba 1 pipe line ya kudangiiaaa! We Lara umedanga INTERNATIONAL ila bataaaa la Ze Devil NOT FROM THIS WORLD!!!!! Hio AKA the devil hajapewa bureee!!!! Watu wana hisi ana pesa kama mpiga chapa 666! Spooooky!!!!
Nikaenda kwa wadogo zanguuu embu niambieni Babuuu anamtaka nani Na kwa nini Na dili nzima ipojeeee! Anamtaka mtoto mmoja hivi wa pale pale sinza! Anatumika tu na maselaaa bureee wenye IST zao! Sasa Babu Hussein ndo mwenye tangu janaaa anataka ampe Line ila wanasitaaa sanaaa maana tamaa inaponzaaa! Watoto wa Jana tamaa wanayo kubwaaa ila code ndo hawanaaa! Mimi mkubwa wao nisimamie show!
Nikampigiaaa Babu! Babuuu Hana mengiii ana guaranteee vitu vi 2 BATA INFINITY Na maishaaa mazuriii! Mmmmmmhhhh! Nikimuuliza muhusika hatakiiii kabisaaa issue hizi! Uzuri wa bureee! Nikawaambia nishakuwa mtu mzima tafuteni kungwi Mwingine I cant deal! Hatuwezi kumuuza mtu asietaka kujiuzaaa! Full stop! Nikawakataaaa!
Usiku wakanifata saa 4 amekubali! Nikauliza kimebadilika nini? Ana matatizo simu IMEKUFAAA, mama anadaiwaaa! Ada ya chuo hanaaa! Yuko willing ku look further! In short yupo tayariiii!!!! Mmmmmmh!!!!!
Nikamcheki Babu Hussein! Mimi ndo dadake! Anipangeeee! Guaranteee zake zile! Nikamwambia binti ana matatizo huyu tunataka yatatuliweee! Babuuu yupo sio kutatuaaaa huyu akikaaaa vizuriiii atakuwa Boss Lady! Wewe pia Lara utanufaikaaa sanaaa! (Mtumeeeee! Kazi ya shetaniiii nishastaafu mimi!) nikamwambiaaa unampa line ganiii? Ananiambia huyu ana nyotaaa nampa nyota ya one and only! Roho yanguuu inakataaaaa kata kataaa! Nikawaambia this deal DEAL IS OFF! Nendeni mkae delee Na udangaji smalll time hauna maslahi ila una usalama!
Babu Hussein kesho kanipigia simuuu! MPE BOSS DE LA BOSS 1 chanceee! Tutoke usiku mmoja uone ukarimuuuu wakeeee! Usipomkubaliii baaasi! Usimzibie bahatiii! Kazi zenye we hata uko soma hamna! Chawa naishi maisha mazuriiii kuliko professa! Tukutaneee!
Mwinyi kanipigiaaa Lara una block line ya Ze Devil weweeee nyanyaaaa! Unakwamaaaa wapiiii! Sema upewe shingingapiiii! Unatumiwaaa sasa hivi! Unatuzibiaaa ujue! Watu kibao tutafyodaaaa kwenye hii line! Au unataka tukupige jini Ufe ghaflaaa! Tujichaneee! Acha puuuzi fungua line! Kama NJAA zako che Tigo pesa! Aaaaahhh! Sio nyingi ka mitaaa kamojaaa!
Nikawaambia jioni tunaendaaa! Nikisemaaa ruka una ruka usiulize wapiiii! Minami I na mimi na waamini huyu si mtu mzuriiii kabisaaa! Ila sababu mshaniingiza wacha tukayamalize face to face! Mimi ndo final say! Nauli ishatumwa! Zuiaaa hio 500,000 mcheki bi mkubwaaa akae kwa kutuliaaa! Aende Moshi kabisaaa!
INAENDELEAAAAAA
Nimewamisi sanaaa watu wangu wa nguvuuuu! Sikupanga kurejeaaaa ila imenibidiiii! Sio kwa ubuyuuuu huuuu!
Humu ndani kuna BOSS DE LA BOSS (NAOMBA NISEME HADHARANIIII SIO MONKEY) kuna shoga angu aliniambiaaaa nae wa humu humu kwamba ana rohoooo moja safiiii! Mzunguuu Sana wa nafsiiii! Ali pa million 10 kwa kukutana nae humu humu! Siku muaminiiii kabisaaa! Nikawa namuitikia kichinaaaa! Hivi hivi na uchumi wa Kati thubutuuuuu! Akaniambia Boss de la boss ni mtu poaaaa sanaaa! One in a million!
Basi katika enzi zangu humu nikapishana nae uso uso! Yaaani nilipishana Na gari la mshahara uso kwa uso! Boss de la boss ni domo zegeee so hatumiii nguvu! At that time alikuwa bado anaingia front mwenyewe! Akaja front kwangu kweli humu jukwaani wachawiiii! Tena wanga nuksiiii! Siwatakiii wakuuu wa vilinge! Boss de la boss alinijia Dm bila dunk! Leo nimeiangalia ile DM ndo baaaaaassss tenaaaa!
Mimi pia nilikuwa Gizani kama nyieeee! Sijui humu ndani kuna godiiiii maana sio mgodi wa URANIUM! Hatariiiii!
5 years later dunia imenikutanisha tenaaaa Na BOSS DE LA BOSS! Nishakuwa mzeee! Titi zinachuma tembeleee! Nanuka vitunguuu na JIKO! Baaaaaaaassss tenaaa! Kuisha habariiii yangu kabisaaa!
Sina hili wala lile nipo zangu kwenye biashara zangu napigiwa simu Na watoto wa mjiniiii wa bichiiiii chuchu konsiiii! Nikawaambia nani kafaaaa mpaka mnanitafutaaaa! Si bureeeee! Aaaaah wakaniambia Punguza jazbaaaa hajafa mtu! Kuna kaziiii kama inakuja kama inakataaaa! Kama ukiwa kazi ujue kazi hiii si ya kitoto kwa sisi watoto wa Sinza! Ukubwa wake ni kama kazi ya Da Z Na yuleee msenegaliiii boss de la boss la UN mwaka 2009!( Hii story nitawapata siku nyingine)
Mmmmmhhh! Nikawaambia Punguzeni bataaaa! Mtadataaa! Tupo uchumi wa Kati sahivi! Kazi ya Z mchezooo alihongwa nyumba Sinza Moriiii Weeeeeee thubutuuu! Zilipendwa! Wakaniambia punguza munkariiii! Unamjua Mdananda Babu Hussein!!!!!!! Nilistukaaaaa! Nina miaka 10 sijasikia hili jina! Nikamuuliza Babu Hussein naemjiaaa mimi au rapa!!!! Nipe namba zake! Kuchekiii hivi ndieeeee! Aaaaaaah nikawaambia limeishaaa hili mko wapi nakuja huko huko!
Babu Hussein ndo mdanamnda wa WAZITO wengi sanaaa! Na line zake ni konkiiii! Japo ana njaaa kichiziiii! Line anakupa unatumika Na pesa mnaenda PASU kwa pasuuu! Ukimzingua anakutangazi una miwayaaaa line zote zina katika! Nuksiiii sanaaa hili chawa ila halinaga kazi mbovuuu! Ndo alitosa line ya Marehemu Tajiri la wachaga!
Baby Hussein kuna mda alienda kupiga mdananda Mozambique siku was Na taarifa kama alirudiiii! Nikamcheki Mwinyi mtoto wa Kino kama Babuuu kweli yupo mjiniii? Akaniambiaaa yupo tena wa motoooo Na kawa mtamuuu balaaa! Kawa chawa wa Ze Devil! Mmmmhhh! Nikamuuliza Mwinyi who is Ze devil? Akaniambia mama kata vitunguuu jiji limekuachaaa! Ze Devil sio tajiri mpyaaaa ila TAJIRIIII HAKATIKIWI PESAAAA!!!! Leo wala kesho! Ana pesa kama shetaniiiiii! Kama kuna mtu mapema line ya Ze DEVIL aitumie vizuriiii maaana kwa sasa ndo namba 1 pipe line ya kudangiiaaa! We Lara umedanga INTERNATIONAL ila bataaaa la Ze Devil NOT FROM THIS WORLD!!!!! Hio AKA the devil hajapewa bureee!!!! Watu wana hisi ana pesa kama mpiga chapa 666! Spooooky!!!!
Nikaenda kwa wadogo zanguuu embu niambieni Babuuu anamtaka nani Na kwa nini Na dili nzima ipojeeee! Anamtaka mtoto mmoja hivi wa pale pale sinza! Anatumika tu na maselaaa bureee wenye IST zao! Sasa Babu Hussein ndo mwenye tangu janaaa anataka ampe Line ila wanasitaaa sanaaa maana tamaa inaponzaaa! Watoto wa Jana tamaa wanayo kubwaaa ila code ndo hawanaaa! Mimi mkubwa wao nisimamie show!
Nikampigiaaa Babu! Babuuu Hana mengiii ana guaranteee vitu vi 2 BATA INFINITY Na maishaaa mazuriii! Mmmmmmhhhh! Nikimuuliza muhusika hatakiiii kabisaaa issue hizi! Uzuri wa bureee! Nikawaambia nishakuwa mtu mzima tafuteni kungwi Mwingine I cant deal! Hatuwezi kumuuza mtu asietaka kujiuzaaa! Full stop! Nikawakataaaa!
Usiku wakanifata saa 4 amekubali! Nikauliza kimebadilika nini? Ana matatizo simu IMEKUFAAA, mama anadaiwaaa! Ada ya chuo hanaaa! Yuko willing ku look further! In short yupo tayariiii!!!! Mmmmmmh!!!!!
Nikamcheki Babu Hussein! Mimi ndo dadake! Anipangeeee! Guaranteee zake zile! Nikamwambia binti ana matatizo huyu tunataka yatatuliweee! Babuuu yupo sio kutatuaaaa huyu akikaaaa vizuriiii atakuwa Boss Lady! Wewe pia Lara utanufaikaaa sanaaa! (Mtumeeeee! Kazi ya shetaniiii nishastaafu mimi!) nikamwambiaaa unampa line ganiii? Ananiambia huyu ana nyotaaa nampa nyota ya one and only! Roho yanguuu inakataaaaa kata kataaa! Nikawaambia this deal DEAL IS OFF! Nendeni mkae delee Na udangaji smalll time hauna maslahi ila una usalama!
Babu Hussein kesho kanipigia simuuu! MPE BOSS DE LA BOSS 1 chanceee! Tutoke usiku mmoja uone ukarimuuuu wakeeee! Usipomkubaliii baaasi! Usimzibie bahatiii! Kazi zenye we hata uko soma hamna! Chawa naishi maisha mazuriiii kuliko professa! Tukutaneee!
Mwinyi kanipigiaaa Lara una block line ya Ze Devil weweeee nyanyaaaa! Unakwamaaaa wapiiii! Sema upewe shingingapiiii! Unatumiwaaa sasa hivi! Unatuzibiaaa ujue! Watu kibao tutafyodaaaa kwenye hii line! Au unataka tukupige jini Ufe ghaflaaa! Tujichaneee! Acha puuuzi fungua line! Kama NJAA zako che Tigo pesa! Aaaaahhh! Sio nyingi ka mitaaa kamojaaa!
Nikawaambia jioni tunaendaaa! Nikisemaaa ruka una ruka usiulize wapiiii! Minami I na mimi na waamini huyu si mtu mzuriiii kabisaaa! Ila sababu mshaniingiza wacha tukayamalize face to face! Mimi ndo final say! Nauli ishatumwa! Zuiaaa hio 500,000 mcheki bi mkubwaaa akae kwa kutuliaaa! Aende Moshi kabisaaa!
INAENDELEAAAAAA