Usiyoyajua zaidi kuhusu Singasinga (IPTL/PAP) na mkakati wake mpya

SUPU YA MAWE acha porojo wewe ni mtu hupo hapa kudiverge uzi mambo ya kupigwa na wanajeshi,kufukuzwa kazi,kuoa familia yenye mikosi,kuuza Range Rover,mshahara wa usalama wa taifa peleka jokes hapa tunadiscuss issue serious....
 
Uliyoyaandika wewe hata mimi nina uwezo wa kuyatunga, ila kwakuwa najiheshimu sihitaji kutunga. Nimeshakwambia kuwa umeandika kihuni, hivyo hamna nilicho-gain. Taarifa zako hazina chanzo cha taarifa wala proposed solution, umejiandikia tu kama upo kwenye kijiwe cha kahawa

Kwa Utunzi nakukubali sana ebu nipe SUPU YA MAWE na Chapati za Mchanga.
 
We tahira wa kimwili na kiroho, tulizana huko huko lumumba, pesa ya umma lazima irudi

Mimi huwa nawashangaa sana kwa huu uongo wenu, mnadanganya watu bila mpango.

Hata la Dowans tuliwaonya, kuwa jamni hizi biashara za Kimataifa, mtu ka deliver na kafanya ile kazi kwa makubaliano ni lazima umlipe.

Hili la IPTL kama watu hamjui kuwa mnadanywa na mndanganyika pitieni google muone kuwa walifunguwa kesi Tanesco na wameshindwa kesi na wakaamrishwa wawalipe IPTL. Hapo sasa.
 
Kuonyesha wamedhamiria kuzima medea zilizogoma kuhongwa, IPTL wanadai Mwananchi Communication Limited iwalipe trilioni8 kwa madai ya kuwachafua kwakuandika habari za wizi wao wa 200b za Tanesco zilizokuwa BOT,

Mkakati wa singasinga sasahivi ni kuhakikisha anashitaki magazeti yote yanayoandika escrow scandal ili wakiwa mahakamani aombe zuio la mahakama, chombo husika kisiandike habari yoyote mpaka kesi ikiisha na watahakikisha kesi zinachukua miaka mingi. Wanaogopa public sensitization.

Wanaogopa umma ukijua kuwa IPTL iliwekeza mtaji wa dola50 sawa na elfu 50 kwa exchange rate ya 1998 ni wazi umma unaweza kuasi.

Pesa iliyonunua mitambo ya IPTL na kuendesha(kuzalisha umeme) imetoka standard chartered bank, pesa halisi ya IPTL waliyoweka ilikuwa dola50 tu sawa na elfu hamsini ya kitanzani,
Sasa bank iliyoweka mtaji kwa kuhakikishiwa na serikali yetu (kudhsminiwa), hawakuilipa na wamekomba mabilioni yote tangu mwanzo mpaka escrow.

Hatari yake ni kuwa mkopo wa bank ile ulikuwa guaranteed na serikali yetu, hivyo tutajikuta tunalipa tena bank hiyo.

Maajabu ni kuwa IPTL waliweka dola50 sawa na tsh50000 tu kwa exchange rate ya 1:1000. Hiyo iligunduliwa mwaka 2004 ikiwa ni miaka 2 tangu IPTL ianze kuiuzia umeme tanesco.


Nikosoma hizo tarakimu natamani iwe Zim dollars! au basi iwe ndoto. Maana nikiangalia PAYE ninayokatwa sometimes halafu in return naona hizo figure, najikuta naongea mwenyewe!:embarassed2:
 
Mimi huwa nawashangaa sana kwa huu uongo wenu, mnadanganya watu bila mpango.

Hata la Dowans tuliwaonya, kuwa jamni hizi biashara za Kimataifa, mtu ka deliver na kafanya ile kazi kwa makubaliano ni lazima umlipe.

Hili la IPTL kama watu hamjui kuwa mnadanywa na mndanganyika pitieni google muone kuwa walifunguwa kesi Tanesco na wameshindwa kesi na wakaamrishwa wawalipe IPTL. Hapo sasa.

Nini kinakufanya utetee sana suala huli la ufisadi?
 
Nikosoma hizo tarakimu natamani iwe Zim dollars! au basi iwe ndoto. Maana nikiangalia PAYE ninayokatwa sometimes halafu in return naona hizo figure, najikuta naongea mwenyewe!:embarassed2:

Hii ndio Tz ambapo waweza kuweka mtaji wa elfu hamsini kisha ukavuna 200 bilioni,
 
Nini kinakufanya utetee sana suala huli la ufisadi?

Hakuna anaetetea ufisadi lakini suala hili mnavyo li present si ukweli ulivyo. Mnadanganya a to z.

Kwanini hamuwezi kuwa wakweli japo kidogo.

IPTL tatizo lao ni nini? Kama wamekopa si wao? Na kampuni iliyowanunua IPTL si imeshakubali kisheria kuwa inabeba mzigo wote wa IPTL, ni nini msichokijuwa hapo?

Hivi mnazijuwa hizi biashara za Kimataifa au mnajisemea tu?

Yatawakuta ya Dowans ndiyo mtajuwa.
 
ACHA KUANDIKA MAMBO KIHUNI, Kama umeshajua huo mkakati wewe kama mwananchi umekuja na mkakati gani? Unapoelezea tatizo elezea na suluhisho. NINI KIFANYIKE?
Acha kujifanya huijui serikali yako, yaani unataka watu humu watoe suluhisho, then what? Ndo Serikali itachukuwa hilo suluhisho ?
 
Kuonyesha wamedhamiria kuzima medea zilizogoma kuhongwa, IPTL wanadai Mwananchi Communication Limited iwalipe trilioni8 kwa madai ya kuwachafua kwakuandika habari za wizi wao wa 200b za Tanesco zilizokuwa BOT,

Mkakati wa singasinga sasahivi ni kuhakikisha anashitaki magazeti yote yanayoandika escrow scandal ili wakiwa mahakamani aombe zuio la mahakama, chombo husika kisiandike habari yoyote mpaka kesi ikiisha na watahakikisha kesi zinachukua miaka mingi. Wanaogopa public sensitization.

Wanaogopa umma ukijua kuwa IPTL iliwekeza mtaji wa dola50 sawa na elfu 50 kwa exchange rate ya 1998 ni wazi umma unaweza kuasi.

Pesa iliyonunua mitambo ya IPTL na kuendesha(kuzalisha umeme) imetoka standard chartered bank, pesa halisi ya IPTL waliyoweka ilikuwa dola50 tu sawa na elfu hamsini ya kitanzani,
Sasa bank iliyoweka mtaji kwa kuhakikishiwa na serikali yetu (kudhsminiwa), hawakuilipa na wamekomba mabilioni yote tangu mwanzo mpaka escrow.

Hatari yake ni kuwa mkopo wa bank ile ulikuwa guaranteed na serikali yetu, hivyo tutajikuta tunalipa tena bank hiyo.

Maajabu ni kuwa IPTL waliweka dola50 sawa na tsh50000 tu kwa exchange rate ya 1:1000. Hiyo iligunduliwa mwaka 2004 ikiwa ni miaka 2 tangu IPTL ianze kuiuzia umeme tanesco.

MUNGU AKULINDE SANA MKUU nA AKULIPE KWA HAYA UNAYOTUFANYIA HAPA JF KAMANDA , BAADA YA UZI WAKO , NIMEJARIBU KUFANYA UCHUNGUZI KIDOGO , SIKUTAKA HATA KUENDELEA KWA MAMBO NILIYOSHUHUDIA !
 
Hii ndio Tz ambapo waweza kuweka mtaji wa elfu hamsini kisha ukavuna 200 bilioni,

Hakuna mtaji mkubwa duniani kama kichwa chako, hakuna aliyezaliwa na mtaji dunia hii.

What matters is how you use your head. Once you start using your head in finding faults on others so as to make them fail as you have, you will never ever succeed.

On the other hand, those who make it, are those who can create opportunity where there is a problem, how? On how to solve that problem timely.
 
Mimi huwa nawashangaa sana kwa huu uongo wenu, mnadanganya watu bila mpango.

Hata la Dowans tuliwaonya, kuwa jamni hizi biashara za Kimataifa, mtu ka deliver na kafanya ile kazi kwa makubaliano ni lazima umlipe.

Hili la IPTL kama watu hamjui kuwa mnadanywa na mndanganyika pitieni google muone kuwa walifunguwa kesi Tanesco na wameshindwa kesi na wakaamrishwa wawalipe IPTL. Hapo sasa.

Hebu kadadaa elezea ukweli ulivyo tuujue maana inatuchanhanya!
 
Hebu kadadaa elezea ukweli ulivyo tuujue maana inatuchanhanya!
I will be brief.

Wakati Tanzania ina shida ya umeme wakajitokeza IPTL na partner wao mmoja Mtanzania kututatulia tatizo in a timely manner, wakaingia mkataba kisheria wakaleta mitambo waka deliver kama mkataba wao walioingia, wakatupatia umeme na shida ikapunguwa. Wakati wanadai akatokea kidudu mtu akazuia malipo kwa sababu zake za kijinga, Tanesco wakaenda mahakamani, IPTL wakashinda kesi, ikaamriwa walipe. Wakati huo huo kukawa na mgogoro baina ya IPTL na partner Wakitanzania. Mgogoro wakati unaendelea ikawa kuna utata wa nani. Alipwe na Tanesco, ikaamuliwa hizo pesa za malipo ziwe zinawekwa escrow account mpaka watakapomaliza utata wao na huku huduma wanaendelea kutoa kwa Tanesco.

Hapo ndipo alipotokea singasinga akanunuwa IPTL na kampuni ya Mtanzania mbia. Akafata shria zote na mahakama ikaridhika kuwa alipwe yeye kwani kiswawanunua wale wengine. Akalipwa.

Sasa kuna matatizo ya taxation na madeni ya IPTL kuwa walikopeshwa hizo pesa na bank ya Kiingereza kwanini BOT haijazizuwia ili hiyo bank ilipwe. BOT si kazi yao kuzuwia pesa za madeni ya watu na wala si wao waliowadhamini IPTL na hawakupewa agizo lolote na mahakama kuwa wasilipe hizo pesa. Wamelipa.

Singasinga anasema hakuna tatizo, kila anaedai atalipa yeye na ndivyo ilivyo kwenye amri ya mahakama. Mitambo ipo na inafanya kazi. Tatizo liko wapi?

Kwa upande wangu naona hapo hakuna tatizo ila kuna roho mbaya tu, kwanini si mimi kwani yule. At the end of the day, bunge limeshaamuwa uchunguzi ufanywe na CAG na TAKUKURU na kamati ya mahesabu ya bunge, kama kuna foul play yoyote itajulikana, lakini cha kushangaza anakuja mtu humu JF anadanganya mtindo mmoja.

Umeelewa? Hayo ni kwa kifupi tu.
 
I will be brief.

Wakati Tanzania ina shida ya umeme wakajitokeza IPTL na partner wao mmoja Mtanzania kututatulia tatizo in a timely manner, wakaingia mkataba kisheria wakaleta mitambo waka deliver kama mkataba wao walioingia, wakatupatia umeme na shida ikapunguwa. Wakati wanadai akatokea kidudu mtu akazuia malipo kwa sababu zake za kijinga, Tanesco wakaenda mahakamani, IPTL wakashinda kesi, ikaamriwa walipe. Wakati huo huo kukawa na mgogoro baina ya IPTL na partner Wakitanzania. Mgogoro wakati unaendelea ikawa kuna utata wa nani. Alipwe na Tanesco, ikaamuliwa hizo pesa za malipo ziwe zinawekwa escrow account mpaka watakapomaliza utata wao na huku huduma wanaendelea kutoa kwa Tanesco.

Hapo ndipo alipotokea singasinga akanunuwa IPTL na kampuni ya Mtanzania mbia. Akafata shria zote na mahakama ikaridhika kuwa alipwe yeye kwani kiswawanunua wale wengine. Akalipwa.

Sasa kuna matatizo ya taxation na madeni ya IPTL kuwa walikopeshwa hizo pesa na bank ya Kiingereza kwanini BOT haijazizuwia ili hiyo bank ilipwe. BOT si kazi yao kuzuwia pesa za madeni ya watu na wala si wao waliowadhamini IPTL na hawakupewa agizo lolote na mahakama kuwa wasilipe hizo pesa. Wamelipa.

Singasinga anasema hakuna tatizo, kila anaedai atalipa yeye na ndivyo ilivyo kwenye amri ya mahakama. Mitambo ipo na inafanya kazi. Tatizo liko wapi?

Kwa upande wangu naona hapo hakuna tatizo ila kuna roho mbaya tu, kwanini si mimi kwani yule. At the end of the day, bunge limeshaamuwa uchunguzi ufanywe na CAG na TAKUKURU na kamati ya mahesabu ya bunge, kama kuna foul play yoyote itajulikana, lakini cha kushangaza anakuja mtu humu JF anadanganya mtindo mmoja.

Umeelewa? Hayo ni kwa kifupi tu.

Maelezo yako kimantiki yanatofauti gani na niliyokupeni?

Weka ushahidi nje ya "maneno" haya.
 
Hakuna anaetetea ufisadi lakini suala hili mnavyo li present si ukweli ulivyo. Mnadanganya a to z.

Kwanini hamuwezi kuwa wakweli japo kidogo.

IPTL tatizo lao ni nini? Kama wamekopa si wao? Na kampuni iliyowanunua IPTL si imeshakubali kisheria kuwa inabeba mzigo wote wa IPTL, ni nini msichokijuwa hapo?

Hivi mnazijuwa hizi biashara za Kimataifa au mnajisemea tu?

Yatawakuta ya Dowans ndiyo mtajuwa.

Biashara za kimataifa tunazijua vizuri sana na ndiyo maana tunasisitiza kuwa kilichotokea kati ya PAP na watendaji wa serikali ni wizi. Kama huamini subiri Benki ya Standard Charters ya Hong Kong itakapoleta madai yake ndiyo utaona na ubaini wizi ulifanyika na aibu itakayotufika watanzania kwa kukumbatia mafisadi.

Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom