Usiyoyajua miaka miwili ya Lowassa ndani ya CHADEMA

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Mimi kama mkereketwa wa sera za upinzani leo najitokeza hadharani kuhoji hiki kinachoendelea ndani ya CHADEMA.

Kabla ya ujio wa Edward Lowassa, CHADEMA tulitamba sana kwa kutetea wananchi masikini, siku zote tulitetea wamachinga, mama ntilie, wakulima, na wafugaji. Mitaani CHADEMA tulikuwa na mvuto wa kipekee kwa sababu ya hoja na sera zetu za kuifikirisha serikali.Tulikuwa ukivaa magwanda na kupita nayo mtaani unashangiliwa kila kona.

Mara baada ya Edward Lowasa kujiunga chadema, mambo mengi yamebadilika ndani ya chama. CHADEMA ya leo haina mvuto kwa wananchi kabisa, hata ukivaa magwanda na kupita nayo mtaani unaonekana kama lofa fulani tu.
Kwa nini imekuwa hivi?

1.Ni kwa sababu CHADEMA ya leo si mtetezi wa wanyonge tena. Watu maskini wanabomolewa nyumba zao lakini hutasikia wakiwatetea .

CHADEMA ya leo ni rafiki na mtetezi wa wakwepa kodi, wauza madawa, wala rushwa, majangili na wachawi.

2. Imezuka falsafa mpya ndani ya CHADEMA kuwa chama ni watu, kwa hiyo ili mradi tu wewe ni mtu hata kama ni fisadi, mchawi, mkwepa kodi, muuza madawa ya kulevya na mchawi njoo CHADEMA utapokewa.

Je maadili na miiko ya CHADEMA imeenda wapi?
Kutokana na sababu hizo hapo juu nimeamua kutema nyongo kwa Edward Lowassa aturudishie chama chetu, hii siyo CHADEMA tuliyoizoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama mkereketwa wa sera za upinzani leo najitokeza hadharani kuhoji hiki kinachoendelea ndani ya CHADEMA.

Kabla ya ujio wa Edward Lowassa, CHADEMA tulitamba sana kwa kutetea wananchi masikini, siku zote tulitetea wamachinga, mama ntilie, wakulima, na wafugaji. Mitaani CHADEMA tulikuwa na mvuto wa kipekee kwa sababu ya hoja na sera zetu za kuifikirisha serikali.Tulikuwa ukivaa magwanda na kupita nayo mtaani unashangiliwa kila kona.

Mara baada ya Edward Lowasa kujiunga chadema, mambo mengi yamebadilika ndani ya chama. CHADEMA ya leo haina mvuto kwa wananchi kabisa, hata ukivaa magwanda na kupita nayo mtaani unaonekana kama lofa fulani tu.
Kwa nini imekuwa hivi?

1.Ni kwa sababu CHADEMA ya leo si mtetezi wa wanyonge tena. Watu maskini wanabomolewa nyumba zao lakini hutasikia wakiwatetea .

CHADEMA ya leo ni rafiki na mtetezi wa wakwepa kodi, wauza madawa, wala rushwa, majangili na wachawi.

2. Imezuka falsafa mpya ndani ya CHADEMA kuwa chama ni watu, kwa hiyo ili mradi tu wewe ni mtu hata kama ni fisadi, mchawi, mkwepa kodi, muuza madawa ya kulevya na mchawi njoo CHADEMA utapokewa.

Je maadili na miiko ya CHADEMA imeenda wapi?
Kutokana na sababu hizo hapo juu nimeamua kutema nyongo kwa Edward Lowassa aturudishie chama chetu, hii siyo CHADEMA tuliyoizoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri CDM wakiongea Nyumba hazita bomolewa?

Naomba unitajie wala rushwa,majambazi,wachawi,wakwepa kodi,wauza unga, wa CDM alfu na mm nikutajie wa kwenu CCM
 
Unayoyasema ni ya ukweli mtupu. CHADEMA IMEKUWA KAMA TASBIHI ILIYOKATIKA UZI.

kila mwanasiasa chadema leo anafanya siasa kufuatia Ajenda yake mwenyewe na sio kwa manufaa ya chama.

Ukilinganisha historia ya kikazi ya kama Myika na viongozi wa aina yake mwaka mmoja kabala ya Lowasa kijinga CDM, na historia ya ufanyi siasa zao baada ya kujiunga, utaona walivyo Rudi nyuma sana, na kuonesha kutoridishwa na mambo yanavyo kwenda.

Watu kama Lissu, Msigwa na kubenea wao wanatumia fursa hii kujijenga wao binafsi, na hawajali chama kinaumia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja waje wenzio waliopofushwa na rais wa mioyo yao bwana ngoyai, utaambiwa kuwa chadema imepiga hatua kubwa kuwahi kutokea tangu kuundwa!!

Ngw'ana Kabula
 
Ngoja waje wenzio waliopofushwa na rais wa mioyo yao bwana ngoyai, utaambiwa kuwa chadema imepiga hatua kubwa kuwahi kutokea tangu kuundwa!!

Ngw'ana Kabula
Utaleta hoja gani ww kakatwe govi kwanza ndyo uje uongee wasukuma wachafu hawana hoja
 
Hahahahah nilikinyima kura chama language cdm kwa sabbu ya lowasa. Nikampigia kura mama WA act wazalendo.

Kila nikiona ile video ya mwembe yanga pale Temeke. Nikimuona lema akisema. Kumuita lowasa fisadi unaenda mbinguni Mungu anakusamee mazambi yako

Moyo wangu huwa unasiamam kwa mda. Kutafakari kurejesha mapenzi kwa chama langu
 
Mimi kama mkereketwa wa sera za upinzani leo najitokeza hadharani kuhoji hiki kinachoendelea ndani ya CHADEMA.

Kabla ya ujio wa Edward Lowassa, CHADEMA tulitamba sana kwa kutetea wananchi masikini, siku zote tulitetea wamachinga, mama ntilie, wakulima, na wafugaji. Mitaani CHADEMA tulikuwa na mvuto wa kipekee kwa sababu ya hoja na sera zetu za kuifikirisha serikali.Tulikuwa ukivaa magwanda na kupita nayo mtaani unashangiliwa kila kona.

Mara baada ya Edward Lowasa kujiunga chadema, mambo mengi yamebadilika ndani ya chama. CHADEMA ya leo haina mvuto kwa wananchi kabisa, hata ukivaa magwanda na kupita nayo mtaani unaonekana kama lofa fulani tu.
Kwa nini imekuwa hivi?

1.Ni kwa sababu CHADEMA ya leo si mtetezi wa wanyonge tena. Watu maskini wanabomolewa nyumba zao lakini hutasikia wakiwatetea .

CHADEMA ya leo ni rafiki na mtetezi wa wakwepa kodi, wauza madawa, wala rushwa, majangili na wachawi.

2. Imezuka falsafa mpya ndani ya CHADEMA kuwa chama ni watu, kwa hiyo ili mradi tu wewe ni mtu hata kama ni fisadi, mchawi, mkwepa kodi, muuza madawa ya kulevya na mchawi njoo CHADEMA utapokewa.

Je maadili na miiko ya CHADEMA imeenda wapi?
Kutokana na sababu hizo hapo juu nimeamua kutema nyongo kwa Edward Lowassa aturudishie chama chetu, hii siyo CHADEMA tuliyoizoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabadilikooo Lowassa.....Lowassaaaaaaaa mabadiliko....

Na mabadiliko ya Lowassa ni ya kiccm.
Zungusha, zungusha...utaelewa tu.

Sasa unampa chama mwana ccm sugu unategemea nini?
 
Unafikiri CDM wakiongea Nyumba hazita bomolewa?

Naomba unitajie wala rushwa,majambazi,wachawi,wakwepa kodi,wauza unga, wa CDM alfu na mm nikutajie wa kwenu CCM

Kwa hiyo hao wote wapo mpaka huko....!!?

Sasa kwanini msisafishe kwanza huko...!?
 
Tangu mkuu aongee na uvccm na kusema nafasi za kuteuliwa bado zipo nyingi tutashuhudia uzi za ajabu ajabu nyingi hasa kwa kweli
 
Back
Top Bottom