Usiyoyajua kuhusu Warumi

Huyu ni Ke mkuu,
Kuna uzi alisema yeye anadate na vigogo wa serikali ( siyo ya Magufuli lakini )

Pia anampango wa kumegwa na Trainer aliyechepuka na Zari
ndo maana waswahili wakasema ukiwa m'mbeya jitahd uukumbuke uongo wako!


Piga screen shoot hayo maneno, arafu uyaweke hapa!
 
1. Kiuhalisia Mimi ni mpole sana na Nina aibu, sio muongeaji kabisa, mpaka nikuzoee sana.

2. Japokua huwa napost sana kwenye jukwaa la celebrities, ila Mara nyingi napenda zaidi kusoma threads kutoka jukwaa la jamii intelligence kuliko celebrities forum .

3. Mara chache sana huwa nacomment kwenye thread za watu wengine humu C.F , sijui ni kwa nini , Ila huwa najisikia raha sana ku comment kwenye thread ninazoanzisha mwenyewe

4. Sina bifu na hance mtanashati au na mtu yeyote Yule ambaye anapost habari humu celebrities forum , kwa sababu Mimi naona kazi zangu zinapendwa zaidi mpaka nashindwa wa kujifananisha nae.

5. Endapo ikatokea tukapishana kauli na mtu kwenye uzi flani, huwa sina tabia ya kuweka kinyongo kabisa , Mimi huwa nasahau sana na mwepesi kusamehe.

6. Watu ambao Nina wakubali na kuwaeshimu sana humu jf ni Heaven on Earth lusungo mshana @ rakhims pasco Mama Sabrina @ heaven sent @ mrembo by nature @ matola @ mzizi mkavu @ nyani ngabu Evelyn Salt, na wambea wenzangu wote, majina ni mengi , siwezi Maliza yote humu .

7. Swali ambalo limekua likileta utata sana humu jukwaani ni jinsia yangu , niseme tu kwa hapa nimeweza kucheza na akili za watu wengi mno na kuwapa utata juu ya jinsia yangu, nadhani ni kipaji tu na ubunifu vinamifanya niweze ku switch na kucheza na hizi jinsia mbili na kuleta utata kwa watu , na nimalizie kwa kusema suala la jinsia litabaki kuwa siri yangu kwa sasa

8.huwa sina marafiki kabisa kwenye maisha yangu ya kawaida , hivyo natumia jamii forum na app nyingine kwa ajili kubadilisha mawazo.

9. Sina ndoa

10. Ni Mtanzania / mkenya



Haya wanazengo mnaweza kuongeza na maswali mengine ya maana , kama kweli unatak kumjua warumi wa halisi. Nitajaribu kuwajibu wote watakaouliza maswali ya maana tu , pia ushauri unakaribishwa.
Tupo bussy msiba wa mengi ww unaongea ungese usengee tu
 
1. Kiuhalisia Mimi ni mpole sana na Nina aibu, sio muongeaji kabisa, mpaka nikuzoee sana.

2. Japokua huwa napost sana kwenye jukwaa la celebrities, ila Mara nyingi napenda zaidi kusoma threads kutoka jukwaa la jamii intelligence kuliko celebrities forum .

3. Mara chache sana huwa nacomment kwenye thread za watu wengine humu C.F , sijui ni kwa nini , Ila huwa najisikia raha sana ku comment kwenye thread ninazoanzisha mwenyewe

4. Sina bifu na hance mtanashati au na mtu yeyote Yule ambaye anapost habari humu celebrities forum , kwa sababu Mimi naona kazi zangu zinapendwa zaidi mpaka nashindwa wa kujifananisha nae.

5. Endapo ikatokea tukapishana kauli na mtu kwenye uzi flani, huwa sina tabia ya kuweka kinyongo kabisa , Mimi huwa nasahau sana na mwepesi kusamehe.

6. Watu ambao Nina wakubali na kuwaeshimu sana humu jf ni Heaven on Earth lusungo mshana @ rakhims pasco Mama Sabrina @ heaven sent @ mrembo by nature @ matola @ mzizi mkavu @ nyani ngabu Evelyn Salt, na wambea wenzangu wote, majina ni mengi , siwezi Maliza yote humu .

7. Swali ambalo limekua likileta utata sana humu jukwaani ni jinsia yangu , niseme tu kwa hapa nimeweza kucheza na akili za watu wengi mno na kuwapa utata juu ya jinsia yangu, nadhani ni kipaji tu na ubunifu vinamifanya niweze ku switch na kucheza na hizi jinsia mbili na kuleta utata kwa watu , na nimalizie kwa kusema suala la jinsia litabaki kuwa siri yangu kwa sasa

8.huwa sina marafiki kabisa kwenye maisha yangu ya kawaida , hivyo natumia jamii forum na app nyingine kwa ajili kubadilisha mawazo.

9. Sina ndoa

10. Ni Mtanzania / mkenya



Haya wanazengo mnaweza kuongeza na maswali mengine ya maana , kama kweli unatak kumjua warumi wa halisi. Nitajaribu kuwajibu wote watakaouliza maswali ya maana tu , pia ushauri unakaribishwa.
Wewe ni mwanamke. Full stop.

Kuna mwingine anajiita Sexless , anajitahidi sana kumaintain jina hilo kwa kuleta mada za aina zote(Kiume/kike), lakini ni yeye Mwanaume.
 
Poa wacha niutafute ule uzi
itakuwa umefanya jambo zuri sana..
Ila trainer kadamshi, mwili kama wote. Ngoja nimpigie shoga angu zari anipe namba za trainer nataka kufanya mazoezi na Mimi


Jamani wanazengo ebu nisaidien kupata handle ya huyu trainer Instagram , ntahamia pretoria just for him , zari umejua kunikomeshea domo , hawa Ndo wanaume Sasa , Dudu layoyo kama lote


Trainer jaman utavunja ndoa yangu na @matola
 

Similar Discussions

13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom