Usiyoyajua kuhusu Warumi

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,375
1. Kiuhalisia Mimi ni mpole sana na Nina aibu, sio muongeaji kabisa, mpaka nikuzoee sana.

2. Japokua huwa napost sana kwenye jukwaa la celebrities, ila Mara nyingi napenda zaidi kusoma threads kutoka jukwaa la jamii intelligence kuliko celebrities forum .

3. Mara chache sana huwa nacomment kwenye thread za watu wengine humu C.F , sijui ni kwa nini , Ila huwa najisikia raha sana ku comment kwenye thread ninazoanzisha mwenyewe

4. Sina bifu na hance mtanashati au na mtu yeyote Yule ambaye anapost habari humu celebrities forum , kwa sababu Mimi naona kazi zangu zinapendwa zaidi mpaka nashindwa wa kujifananisha nae.

5. Endapo ikatokea tukapishana kauli na mtu kwenye uzi flani, huwa sina tabia ya kuweka kinyongo kabisa , Mimi huwa nasahau sana na mwepesi kusamehe.

6. Watu ambao Nina wakubali na kuwaeshimu sana humu jf ni Heaven on Earth lusungo mshana @ rakhims pasco Mama Sabrina @ heaven sent @ mrembo by nature @ matola @ mzizi mkavu @ nyani ngabu Evelyn Salt, na wambea wenzangu wote, majina ni mengi , siwezi Maliza yote humu .

7. Swali ambalo limekua likileta utata sana humu jukwaani ni jinsia yangu , niseme tu kwa hapa nimeweza kucheza na akili za watu wengi mno na kuwapa utata juu ya jinsia yangu, nadhani ni kipaji tu na ubunifu vinamifanya niweze ku switch na kucheza na hizi jinsia mbili na kuleta utata kwa watu , na nimalizie kwa kusema suala la jinsia litabaki kuwa siri yangu kwa sasa

8.huwa sina marafiki kabisa kwenye maisha yangu ya kawaida , hivyo natumia jamii forum na app nyingine kwa ajili kubadilisha mawazo.

9. Sina ndoa

10. Ni Mtanzania / mkenya



Haya wanazengo mnaweza kuongeza na maswali mengine ya maana , kama kweli unatak kumjua warumi wa halisi. Nitajaribu kuwajibu wote watakaouliza maswali ya maana tu , pia ushauri unakaribishwa.
 
1. Kiuhalisia Mimi ni mpole sana na Nina aibu, sio muongeaji kabisa, mpaka nikuzoee sana.

2. Japokua huwa napost sana kwenye jukwaa la celebrities, ila Mara nyingi napenda zaidi kusoma threads kutoka jukwaa la jamii intelligence kuliko celebrities forum .

3. Mara chache sana huwa nacomment kwenye thread za watu wengine humu C.F , sijui ni kwa nini , Ila huwa najisikia raha sana ku comment kwenye thread ninazoanzisha mwenyewe

4. Sina bifu na hance mtanashati au na mtu yeyote Yule ambaye anapost habari humu celebrities forum , kwa sababu Mimi naona kazi zangu zinapendwa zaidi mpaka nashindwa wa kujifananisha nae.

5. Endapo ikatokea tukapishana kauli na mtu kwenye uzi flani, huwa sina tabia ya kuweka kinyongo kabisa , Mimi huwa nasahau sana na mwepesi kusamehe.

6. Watu ambao Nina wakubali na kuwaeshimu sana humu jf ni Heaven on Earth lusungo mshana @ rakhims pasco Mama Sabrina @ heaven sent @ mrembo by nature @ matola @ mzizi mkavu @ nyani ngabu Evelyn Salt, na wambea wenzangu wote, majina ni mengi , siwezi Maliza yote humu .

7. Swali ambalo limekua likileta utata sana humu jukwaani ni jinsia yangu , niseme tu kwa hapa nimeweza kucheza na akili za watu wengi mno na kuwapa utata juu ya jinsia yangu, nadhani ni kipaji tu na ubunifu vinamifanya niweze ku switch na kucheza na hizi jinsia mbili na kuleta utata kwa watu , na nimalizie kwa kusema suala la jinsia litabaki kuwa siri yangu kwa sasa

8.huwa sina marafiki kabisa kwenye maisha yangu ya kawaida , hivyo natumia jamii forum na app nyingine kwa ajili kubadilisha mawazo.

9. Sina ndoa

10. Ni Mtanzania / mkenya



Haya wanazengo mnaweza kuongeza na maswali mengine ya maana , kama kweli unatak kumjua warumi wa halisi. Nitajaribu kuwajibu wote watakaouliza maswali ya maana tu , pia ushauri unakaribishwa.
Je unaye mchumba?
 

Similar Discussions

13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom