Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Huyu ana kila sifa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi hii maana ana uwezo na anaelewa sana matatizo ya nchi hii. Hawa viongozi wa kubebwa na vongozi wastaafu hawatufai kabisa. Tunao na tunawaona.pamoja na hayo yote lakini hafai kuwa rais wa nchi ambayo haipendi kama tz maana huwezi kuikashfu nchi yako mwenyewe halafu uje uombe ridhaa ya kuiongoza hana sifa ya kuwa rais hata kidogo