The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
JPM alikuwa na msimamo gani kuhusu UN?
Umesoma kwa utulivu nilichokiandika? Nimeongelea JPM kuwa na misimamo, kwenye mambo yake, hapa tunasifia mtu kutaka kutumia kiswahili, yule alikua anakitumia, alifanya hivyo AU na EAC.
UN hakuwahi hudhuria hadi mauti inamfika.