Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namfahamu mkuu alikuwa Sigara!Kalowea kweli!Christopher Adrian kisha lowea huko
Mbn ghali hata kuliko kujenga 10000 yote hiyo ya nnNdugu huku Malaya 10000+
Dar es Salaam bongo pale Buguruni mboka papuchi mpaka jero unapata.Ndugu huku Malaya 10000+
Anko kwema?Uwanja wa bei hiyo unapatikana mitaa gan mkuu?
Unapata bonas ya Ukimwi, Kaswende na Gon. Kilangila.Ndugu huku Malaya 10000+
Kwema anko...Shangazi anaendeleaje.?😀Anko kwema?
Wiki lililo pita nilikuwa huko nikasahau kukutafuta.
Vipi huko huduma za maji namaanisha, nje ya mji maji yanapatikana kirahisi au maji ya kununua kuna sehemu Tanzania hii maji shida huwezi hata kulima kwenye backyardMji wa songea upo mkoani Ruvuma ndiyo manispaa pekee iliyopo katika mkoa wa Ruvuma
Huu mji bhana ukiwa meajiriwa unakufaa kuishi na hutopata tabu Ila ukiwa mtafutaji wa kilasiku songea Ni ngumu
Kma unalipwa mshahara mfano 300000 songea usipojenga wewe mzembe sahani ya wali inaanzia 500 na kuendelea vyumba vya kupanga vinaanzia Bei ya 5000 kuendelea nyumba yenye umeme inaanzia 10000 kuendelea self contained unaanzia 20000 kuendelea unapanga nyumba inamaji,umeme,vyumba vitatu ndani SI ajabu ukalipa 60000 kw mwezi
Kwenye kuoa Sasa huku unatoa barua tu 100000 mahari sio lazima huku watu hawato mahari
Kujenga Sasa
Uwanja robo heka inaanzia 500000 ni eneo linakilakitu
Huku tunajengea tofari za tope tofari moja tsh 100 ukiw na tofari 12000 unajenga nyumba kubwaa fundi kukujengea nyumba unamlipa mpka 500000 nyumba inaisha
Yaani haya ni machache tu kuhusu songea Kama ukiajiliwa ukapangiwa Songea sema Asante mungu
Kabisa Aisee, alikuchukia Moja kwa Moja. Maana hata wazuia mvua walishindwa kufanya Yao ili Mambo yaende kama yalivyopangwa.Na hakuja Tena hata kwenye kampeni
Naumwa lizaboni nakaa kidonda,nyumbi bombi.Bila kusahau Lizaboni ni balaa pale kwa vibaka
Vipi wanauza miradi? Je lori moja linaweza kujaa miradi mingapi na mradi mmoja umesimamia shilingi ngapi?Songea nakupenda sana ila siiwezi, huku nitakuwa nakuja kuchukuwa miradi na kurudi
Mungu ni mwema tupo vizuri.Kwema anko...Shangazi anaendeleaje.?
Dah anko, sio mbaya karibu tena wakati mwingine usinisahau mjukuu
Songea nzima hakuna shida ya maji hujitokeza malachache mwezi wa kumi kwakuw jua kaliVipi huko huduma za maji namaanisha, nje ya mji maji yanapatikana kirahisi au maji ya kununua kuna sehemu Tanzania hii maji shida huwezi hata kulima kwenye backyard