Usiyoyajua kuhusu michuano ya klabu bingwa ulaya (Uefa Champions League)

Weka na hii mkuu,mchezaji pekee humu duniani mwenye magoli mengi katika hatua ya Robo fainali za UEFA kuliko wote Kuwahi kutokea,Si mwengine niiii...CRISTIANO RONALDO!!!

Screenshot_2017-05-03-15-29-22.png
 
Record nyingine hizi Katika UEFA...CR7 Ni mchezaji pekee ambaye Ameshinda magoli 10+ katika kila Msimu wa UEFA kwa misimu 6 mfululizo Ya UEFA-CHAMPIONS-LEAGUE[RECORD] Na Mwenye Home Goals nyingi[RECORD] kuliko mchezaji yoyote yule kuwahi kutokea kwenye michuano hiyo.

Screenshot_2017-05-03-14-58-21.png Screenshot_2017-05-03-15-30-15.png
 
1.Arsenal wanashikilia rekodi ya kuwa timu pekee kucheza mechi ya UEFA ikiwa na wachezaji 11 wa mataifa 11 tofauti. Yaani kila mchezaji alikuwa na taifa lake!

2.Real Madrid inashikilia rekodi ya kuchukua kombe mara nyingi zaidi ikiwa imechukua mara 11. Pia ikiwa timu iliyochukua kombe mara tano mfululizo (wakati likiitwa “European cup”) kuanzia mwaka 1956 mpaka 1960

3. Barcelona inashikilia rekodi ya kufika nusu fainali sita mfululizo

4.Ni wachezaji wawili tu waliowahi kuoneshwa kadi nyekundu katika mchezo wa fainali ya uefa Jens Lehmann (Arsenal) katika fainali ya 2006 na Didier Drogba (Chelsea), Timu zao zilipoteza michezo hiyo.

5. Klabu za Hispania ndio zinaongoza kuchukua kikombe cha uefa mara 14 (real madrid na barcelona pekee). Wakifuatiwa na vilabu vya England na Italia mara 12.

6.Benifica inashikilia rekodi ya kushinda magoli mengi zaidi katika mechi mbili za hatua ya mtoano ilishinda jumla ya mabao 18-0 dhidi ya Dudelange. Mechi ya kwanza benifica ilishinda 8-0 na mechi ya pili 10-0

7.Atletico Madrid imefika fainali ya uefa mara tatu tu, ya kwanza ikiwa mwaka 1974 dhidi ya Bayern munich ambapo mechi iliisha kwa sare ya moja kwa moja na kuamuliwa irudiwe siku mbili baadae na Bayern kushinda 4-0. Ya pili ilikuwa ya mwaka 2014 ambapo walicheza dhidi ya r.madrid na real kushinda mabao 4-1.

8.Mchezaji mkubwa zaidi kucheza UEFA ni Marco Ballotta wa Lazio akiwa na miaka 43 huku mchezaji mdogo zaidi kucheza uefa akiwa ni muafrika Celestine Babayaro akiwa na miaka 16!

9.Mwaka 1967 Celtic ilibeba kombe ikiwa na wachezaji wote wazaliwa wa eneo moja la kilometa 50 kuzunguka uwanja wao wa nyumbani.

10.Goli la mapema zaidi kufungwa lilikuwa la mchezaji wa Bayern muchen Roy Makaay, sekunde 10 tu baada ya mchezo kuanza!

Cc : Askari Muoga

Real madrid nusu fainal mara 7 mfululizo acha uongo
 
Kama hutojali weka na hii...mchezaji pekee humu duniani mwenye magoli mengi kuliko wote kuwahi kutokea na hadi Sasa kwenye michuano hiyo ya ligi ya mabingwa barani ulaya(UEFA-CHAMPIONS-LEAGUE) na aliyezizidi magoli club kubwa kama AleticoMadrid,SL Benefica ,Celtic,Marseille,PSV,ManCity,Tott-Spurs na nyenginezo malizieni...Si Mwengine LADYS AND GENTLEMENS...I Present to You all...The One&Only CRISTIANO RONALDO!!! [RECORD]

View attachment 513323
Hii record yako umeibua wapi! Kweli vijana wa cku hizi mwendo kasi. Ebu fuatilia mfungaji bora wa magoli club bingwa ulaya ni nani kwa sasa.
 
Hii record yako umeibua wapi! Kweli vijana wa cku hizi mwendo kasi. Ebu fuatilia mfungaji bora wa magoli club bingwa ulaya ni nani kwa sasa.

Wewe Jamaa nahisi haujielewi sio bure...Sasa UNACHOBISHIA NINI LABDA?,kwanza unapoquote comment ya mtu Siku nyingine uje kistaharabu sawa??,Wewe hushangai wengine wameisoma hii comment yangu na kuipita kama ilivyo???...KAMA SIO CRISTIANO RONALDO...INA MAANA WEWE NDIYE UNAYEMJUA MFUNGAJI BORA WA UEFA OF ALL TIME NA MWENYE MAGOLI MENGI KULIKO WENGINE HUMU DUNIANI KWENYE MICHUANO HIYO...HAYA MTAJE BHASI????...SI MBAYA UWEKE NA EVIDENCE HAPA WOTE TUONE....Usilete BlahBlah! tu with no reasons,Usifikiri kila mtu anafanana na Huyo mwenye kiduku uliyemweka kwenye avatar yako hapo,Inawezekana hujapenda kwamba "KWANINI NI CR7"...Pengine humpendi na sio fans wake ila jitahidi kuvumilia maana ndio mpira ulivyo na ndo AMESHAKUWA YEYE SASA NA HAKUNA NAMNA NYINGINE...SUBIRI LABDA UNAYEMTAKA WEWE ATAKUJA KUFIKIA HIYO RECORD YA JAMAA YA UFUNGAJI KATIKA UEFA KWA WAKATI WAKE UKIFIKA ILA KWASASA "CRISTIANO RONALDO NDIYE ALL TIME TOP SCORER IN UEFA CHAMPIONS LEAGUE ANAYEJULIKANÀ NA HILO SHIRIKISHO LA MPIRA ULAYA(Union Of European Football Associations/UEFA) NA FIFA"...Jaribu kufanya review kwenye hii list ya wafungaji UEFA hapo chini na Pages kutoka UEFA.com itakusaidia na hata usipoelewa natumaini utapata kitu hapo...Unless Otherwise unataka Arguments za kishamba!!!

Screenshot_2017-05-24-15-51-58.png Screenshot_2017-05-24-15-56-12.png Screenshot_2017-05-24-15-56-32.png Screenshot_2017-05-24-15-57-20.png Screenshot_2017-05-24-15-58-18.png Screenshot_2017-05-24-15-58-32.png Screenshot_2017-05-24-16-01-33.png Screenshot_2017-05-24-16-05-56.png Screenshot_2017-05-24-16-08-34.png Screenshot_2017-05-24-16-06-28.png Screenshot_2017-05-24-16-07-33.png Screenshot_2017-05-24-16-19-32.png Screenshot_2017-05-24-16-10-26.png Screenshot_2017-05-03-15-00-27.png IMG_201705124_023608.jpg Screenshot_2017-05-03-13-25-57.png Screenshot_2017-05-03-13-35-09.png

I Know him Since day One in [HASHTAG]#ManU[/HASHTAG] despite of being a Spurs Enthusiast ,He may not be the FINEST FOOTBALLER to ever live but HE IS A COMPLETELY OUTSTANDING GOAL-SCORING MACHINE TESTED TO THE LIMIT.....A Magnificent ONE!!!

Ilikuwaga ni debate kubwa sana kuwa ni mchezaji gani humu duniani atakuwa Wa kwanza kufikisha magoli 100 ya ligi ya klabu bingwa barani Ulaya...Akawa yeye [HASHTAG]#CR7[/HASHTAG] [RECORD-till now no player has reached that figure in [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]] ahead of Messi...Who's holding a record of 94 goals for UEFA ,Kumbuka jamaa bado goli 3 kama sio 4 kufikisha 600-CAREER GOALS...it's always him ,NA NDIYE MCHEZAJI WA KWANZA NA PEKEE HUMU DUNIANI KUPIGA HAT-TRICK KWENYE FINAL YA "FIFA-CLUB-WORLD-CUP"[RECORD]...Hakuna mwengine kwa Sasa...That's an astonishing Record for him.The Guy is taking full advantage of his scoring ability!!!

DAGWwUZV0AAC_gQ.jpg DAbHHK3WsAAFw01.jpg DAX1iLqXkAAzL-I.jpg

[HASHTAG]#ShutUp[/HASHTAG] and enjoy his performance on the pitch!!!
 
1.Arsenal wanashikilia rekodi ya kuwa timu pekee kucheza mechi ya UEFA ikiwa na wachezaji 11 wa mataifa 11 tofauti. Yaani kila mchezaji alikuwa na taifa lake!

2.Real Madrid inashikilia rekodi ya kuchukua kombe mara nyingi zaidi ikiwa imechukua mara 11. Pia ikiwa timu iliyochukua kombe mara tano mfululizo (wakati likiitwa “European cup”) kuanzia mwaka 1956 mpaka 1960

3. Barcelona inashikilia rekodi ya kufika nusu fainali sita mfululizo

4.Ni wachezaji wawili tu waliowahi kuoneshwa kadi nyekundu katika mchezo wa fainali ya uefa Jens Lehmann (Arsenal) katika fainali ya 2006 na Didier Drogba (Chelsea), Timu zao zilipoteza michezo hiyo.

5. Klabu za Hispania ndio zinaongoza kuchukua kikombe cha uefa mara 14 (real madrid na barcelona pekee). Wakifuatiwa na vilabu vya England na Italia mara 12.

6.Benifica inashikilia rekodi ya kushinda magoli mengi zaidi katika mechi mbili za hatua ya mtoano ilishinda jumla ya mabao 18-0 dhidi ya Dudelange. Mechi ya kwanza benifica ilishinda 8-0 na mechi ya pili 10-0

7.Atletico Madrid imefika fainali ya uefa mara tatu tu, ya kwanza ikiwa mwaka 1974 dhidi ya Bayern munich ambapo mechi iliisha kwa sare ya moja kwa moja na kuamuliwa irudiwe siku mbili baadae na Bayern kushinda 4-0. Ya pili ilikuwa ya mwaka 2014 ambapo walicheza dhidi ya r.madrid na real kushinda mabao 4-1.

8.Mchezaji mkubwa zaidi kucheza UEFA ni Marco Ballotta wa Lazio akiwa na miaka 43 huku mchezaji mdogo zaidi kucheza uefa akiwa ni muafrika Celestine Babayaro akiwa na miaka 16!

9.Mwaka 1967 Celtic ilibeba kombe ikiwa na wachezaji wote wazaliwa wa eneo moja la kilometa 50 kuzunguka uwanja wao wa nyumbani.

10.Goli la mapema zaidi kufungwa lilikuwa la mchezaji wa Bayern muchen Roy Makaay, sekunde 10 tu baada ya mchezo kuanza!

Cc : Askari Muoga

STAY TUNED: Kuna historia mpya itaenda andikwa na REAL MADRID KWENYE HII MICHUANO Katika final ya Juve VS RealMadrid...hiyo June-3.
 
Iyo no 5 mi ndy sijaelewa au najichanganya,,nijuavyo mimi Barcelona ina uefa 4 + 11 Madrid au cvyo
 
Back
Top Bottom