Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,264
- 2,961
Kinywaji chao kama ilivyo chai kwa wengine wao ni kichurii,nyongo inayochanganywa na maj ya utumbo
Hakuna kabila lisilo na wachawi Tanzania.Unaongea vitu usivyovijua na pole sana
Wakurya na ushirikina ni vitu viwili tofaut
Hakuna mkurya mchawi hata mmoja dunia nzima
Wewe unaongelea matambiko ya wazee ndo unachanganya na uchawi hivyo ni vitu tifaut
Tambiko ziko kabila zote
mfano wa mtu mmoja hawezi kuflect kabila zima. Makabila yote yapo Jeshini, hata yale tunayoweza kuya refer kama weak tribes.Wajita wapo strong ila siyo wakatili kama wakurya. Kama unamaniisha kuwa mkatili ndio kuwa strong ni kweli wajita siyo strong kwa maana hiyo. Au nenda kamwambie mlinzi (ADC) wa rais Samia Hassan (Nyamburi Mashauri) kwamba wewe siyo strong kwa sababu ni mjita.
Mkuu, hivi kuna mkoa bongo ambao hawauani?! Kila eneo la bongo watu wanauana kama siyo kwa silaha ni kwa ndumba....hivi mwendakuzimu na wafuasi wake walikuwa ni wakurya?!Kwa hiyo tabia za wakurya za ukatili wa kutoana ngeu, kuuana bila sababu za maana, wizi wa mifugo na kutahili wanawake ndio nzuri? Kwanza wakurya ndio wamefanya mkoa wote wa Mara kuwa na sifa mbaya kwa sababu ya mambo ya ki-primitive wanayoyafanya.
Kama hizo data umezikubali fanya calculations zako vizuri sasa.Utafiti una nonesha kua mikoa ifuatayo inaongoza kwa idadi kubwa ya wanawake kukeketwa.
1. Manyara 58%
2. Dodoma 47%
3. Arusha 41%
4. Mara 32%
5. Singida 31%
Source: unfpa.org
Kifupi wakurya hawapo kwenye 3 bora ya ukeketaji ila jumba bovu limewaangukia wao, kila ukitolewa mfano wa ukeketaji wao wanakua wa kwanza kutajwa.
Hili linahitaji maelezo ngazi ya chuo yaani!!😂😂😂
Aisee..
Wajita wanatahiriwa wanaume pekee.
Wakurya tohara ni kwa wote, ME na KE
uko siokusengenya,hapo wanakuchana makavu liveTena hawasubiri ukiwa mbali, yan wanakusengenya na ww ukiwa hapo hapo
Sasa tatzo lipo kwenye lugha hawatumii lugha unayoielewauko siokusengenya,hapo wanakuchana makavu live
wajita na wakurya wanatoka seheme moja lakini kuna utifauti mkubwa ya kitabia kati ya hao wawili
wakulia ni watu wa mabavu wana loss temper kirahisi, hasira zao ni mapigano, lakini wajita sio watu wa mabavu ingawa nao wana loss temper kirahisi lakini atumii nguvu labda atakuwekea kisasi
wajita ni wavivu wanafanya kazi mpaka awe na mood mjita analima kasehem kadogo alafu anajisifia mbaya 'asee leo nimelima bwana'.. lakin wakurya wanapiga kazi wanajituma sana na wanataka kuona matoke ya kazi
wajita wana nature ya upole upole, sio wakorofi mpaka uwatibue na ukiwatibua ata deal na kiakili so kinguvu ingawa anaweza akatua nguvu pia, wakurya kwenye upole hawapo kabisaaa.. wakitaka kitu lazima nguvu itumie yani 'nguvu fuso akili kisoda'
wajita wanapenda kuvaa asee, yani mjita anaweza kwenda kulima anapaka mafuta mkanda nje na pen kwenye mfuko wa shati, wakurya hawana hizo tabiaa za kuvaa na awawezi kupanga mavazi
hii najua jf naweza msihamini
wajita kwenye upande wa mapenzi wapo romantic sana wanajua kuplease na wana penda sex, wapo emotional sana awajamaa.. tofauti na wakurya mapenzi wanayachanganya na vita... yani vita ni vita muraaah
kwenye chakula wote wanakula chakula cha kufanana
mwisho kabisa, hayo makabila mawili watu wanayafananisha sana kwasaababu wote wanatoka sehemu moja lakini deep inside.. hawafanani hata kidogoo hususani kwenye tabia
Uongo huu sasa..Hili kabila LA wakurya wanapenda sana na kuabudu matambiko na ushirikina
Neno lipo ..."NISAMEHE"...neno hili ninamaana nyingine ambayo ni ..."NIHURUMIE"...Kwa wakurya hakuna msamiati naomba na samahani/nisamehe ila kuna yaishe/tuyaache na nipe au nataka kwaiyo usishangea anapokukosea akashindwa kusema samahan ila akawambia yaiche ama tuyaachae. Hii ni kwa sababu na kwenye lugha ya kikurya hakuna msamiati wenye maana hizo kwa kiswahili
Mkurya anaangalia mahari aliyolipa, akioa mwanamke anaoa na kila alichokikuta kwa mwanamke nina maana kama ana watoto aliowazaa kabla ya ndoa ama baada ya ndoa wote ni watoto wake.Kuna habari moja nilisikia mkurya akitengana kwa muda na mke wake alafu huyo mke akakutana na mwanaume mwingine na wakazaa watoto ikitokea tena mkurya akarudiana na huyo mke wake basi anadai na hao watoto aliozaa huyo mwanamke na yule mwanaume wapili,je habari hii ni kweli?