Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,705
- 13,317
Kwa wakurya hakuna msamiati naomba na samahani/nisamehe ila kuna yaishe/tuyaache na nipe au nataka kwaiyo usishangea anapokukosea akashindwa kusema samahan ila akawambia yaiche ama tuyaachae. Hii ni kwa sababu na kwenye lugha ya kikurya hakuna msamiati wenye maana hizo kwa kiswahili