Usiyoyajua Kuhusu Batuli

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,379
Yobnesh Yusuph ndiyo jina lake alilopewa na wazazi wake.

1. Ni mwigizaji brand kwa sasa kwenye soko la film , aliingia rasmi 2008 kupitia movie ya Fake smile iliyoandaliwa na marehemu kanumba, na ndipo jina la batuli lilipotokea kwenye hiyo filamu.

2.Baba yake ana asili ya Ethiopia na Somali huku mama yake akiwa mbongo, kabila lake ni msukuma.

3.Ni mama wa watoto wawili, samir(10) na malima(6).

4.Marehemu kanumba alimuomba aigize kwenye filamu yake ya OPRAH, yeye akakataa kwa kisingizio kuwa hawezi kuigiza katika uhusika wa kimapenzi, ingawa zipo baadhi ya filamu ameigiza scene za mapenzi. Nafasi yake ilichukuliwa na uwoya ambaye aliitendea haki filamu hiyo na ndiyo iliyompa umaarufu zaidi.

5.Alishawahi kujitengenezea bifu na msanii mwenzio uwoya na kuipeleka global publisher, hata hivyo waandishi waliijua hii mapema.

6. Juzi tu alianza kuji celebritisha na kuongopea watu mitandaoni kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na chief kiumbe, kisa aliazima gari kwa chief ili akaigizie filamu, chief mwenyewe alikana kuwa hana uhusiano wowote na binti hyo.
 
Mzee ES,
Ni kweli Butiku alikuwa na jukumu kubwa kumshawishi amkubali/amwunge mkono Mkapa in 1995. Lakini baada ya hapo Mkapa alipata marafiki wapya wakamshawishi akeep away from these people from Musoma. You know what? Tangu Mkapa alipoingia Ikulu he has never had a one on one with Butiku? Kila mara Butiku akipiga simu walikuwa wanampa chenga. Hata ule wakati Mkapa alipovimba miguu Butiku wanted to visit but he never got an appointment. That is the kind of person Mkapa was. Kitu kilichinisikitisha zaidi, marehemu Mzee Bomani told me what Mwalimu told him about NBC. You know, by 1997 Mwalimu was going around the country talking to the wananchi about keeping NBC in Tanzanian hands. Mkapa did not like that. Alimfuata Butiama akamwambia Mwalimu naomba uache kuzungumzia NBC. Trust me and see what I will do. So Mwalimu goes back to Butiama and keeps quiet. Guess what Mkapa did? Aliwakabidhi makaburu benki ya wananchi wa Tanzania na mpaka leo tuna kilio kisicho na mwisho wake. Sasa kama huyu si Yuda ni nani? And see how much the Kaburus have made by selling NBC to Barclays. Afadhali hata sisi wenyewe tungekubaliana na Barclays in the first place we would have gotten a better deal!

Mbona sielewi
 

Hehehe nyie mmemtandikia mwenzenu jamvi kumbe yuko humu humu hahaha warumi na team yako ni noumerrrrrrr...raha ya umbea msemwaji asiwepo ila huu ni wa grade 1 ...atakuja na account nyingine kujibu mapigo mda si mrefu subirini tu
 
Last edited by a moderator:
batuli.jpg
 
Hehehe nyie mmemtandikia mwenzenu jamvi kumbe yuko humu humu hahaha warumi na team yako ni noumerrrrrrr...raha ya umbea msemwaji asiwepo ila huu ni wa grade 1 ...atakuja na account nyingine kujibu mapigo mda si mrefu subirini tu

Mbeya siku zote binamu hasemagi uongo, aje apa akane tuongee na mengine mazito ambayo hamuyajui.
Cc : naipenda kazi yangi
 
Last edited by a moderator:
Napenda anavyoigiza ila tatizo ni Uwoya 'wanna-be'.....she used to look natural and very humble.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom