Usiyoyafahamu kuhusu utoko (normal vaginal discharge)

wewe utakua na tatizo la akili si bure kama unafikiri utoko ndio ute wa mapenzi wa mwanamke ..
sasa ngoja nikupe elimu ute wa mwanamke wa mapenzi unakua kama white egg unavutika ..
sio hiyo mitindi yako unayoichezea huko ukaona ndio ute pole weeh..
inapokuja swala la udi ni ushamba tu unakusumbua udi ni kama perfume unavyopulizia kwenye nguo same udi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu anashindwa kutofautisha usafi na uchafu ujue uyo ni Zero brain. Wewe huwezi nifundisha mana kama umeshindwa kumuelewa mtoa uzi.
Me nahitaji kitu natural ,
Ndo Mana hamriziki kwa sababu mnajimodify sana na kupelekea kuliwa matunda kimasihara na tamaa zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmh unachekesha kitu kimoja wewe mwenyewe umeshasema ukishatoka ndio ujakua uchafu then unasema so uchafu ni ulinzi! sasa ukishafika kwenye Hume wa mwanaume si ushatoka nje au!! aaahaaaaaa aaa ndio maana Waume zenu wanawatangaza kwa vimada wao wanaokutana nao wasafi lol
alafu hiyo ishi sijui ya ndimu labda wewe ndio unaweka huko binafsi najisafisha na maji masafi tu na nakia msafi kabisa hata nikiingiliwa mwanaume anatoka msafi na mnato wa kutosha na joto la hatari
haya nikuekeze kuhusu udi wewe mshamba udi ni manukato tu kama perfume tena utapata udi wa pesa nyingi yaani mwanaume akikusogelea tu hivi mwili wote wanukia vizuri hatari hata kabla kukugusa anapata haru yako Nouri kuanzi kwenye kidole mpaka nywele akikupa kiss ya shingo ..
wewe pambana na utoko wake ni choice yako sijakukataza ... na umri wangu huu wa miaka 38 sijawahi pata ugonjwa wowote wa huko ukeni si fungus sijui upupu gani nausikia kwenye matangazo hata uchi unanukaje sijui ndio nakusikia wewe uchi sijui unanuka pyii mmh ..
maji safi yanasafisha uchi wangu na kuna msafi kabisaaa na nashinda msafi hata nikiguswa ghfla sihitaji kukimbilia chooni kama nyie msie jisafisha mkajitizame utoko kwenye chupi

Sent using Jamii Forums mobile app

Weka kapicha basi tuuone huo wako kweli msafi?
 
ukapimwe akili si bure mwanaume nzima hata ute wa mwanamke huujui..utoko ndio unaona ndio ute ndio nyie hata kuwakojoza wanawake zenu hamuwezi kama unashindwa hata kutofautisha ute wa mapenzi wa mwanamke na utoko ujione wewe ni tatizo kubwa pole sana ..
Ukiona mtu anashindwa kutofautisha usafi na uchafu ujue uyo ni Zero brain. Wewe huwezi nifundisha mana kama umeshindwa kumuelewa mtoa uzi.
Me nahitaji kitu natural ,
Ndo Mana hamriziki kwa sababu mnajimodify sana na kupelekea kuliwa matunda kimasihara na tamaa zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom