Usiyoyafahamu kuhusu utoko (normal vaginal discharge)

Yeah kuna magonjwa hushambulia kwa bibi, yanasababisha kuongezeka kwa hiyo discharge
1.Vaginal Candidiasis
2.Bacteria Vaginitis
3.UTI
Tiba huchukua 5 to 7 days unapona kabisa, no discharge again.
Kama hujawahi ugua wewe ni wa kipekee sana.
[/QUOTE]
ona sasa kumbe unapataga tatizo unakua mwingi aahaaaaa ...
sijawahi kwenda hospital sbb ya utoko aahaaa sijui fungus kumbe nyie msie jisafisha ndio mnaendaga hospital aahaaaaa sasa nishajua aahhaaaa uchafu ukiwazidia inabidi muende hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
namba 1 na 2 ni vitu navisikia tu sijawahi hata kuvipata I swear.
namba 3 U.T.I nishapata usichana wangu na nimegundua U.T.I kama ukiwa mtu wa kunywa maji sana hata lita 2 kwa siku huko ugonjwa ni historia kwako
Yeah kuna magonjwa hushambulia kwa bibi, yanasababisha kuongezeka kwa hiyo discharge
1.Vaginal Candidiasis
2.Bacteria Vaginitis
3.UTI
Tiba huchukua 5 to 7 days unapona kabisa, no discharge again.
Kama hujawahi ugua wewe ni wa kipekee sana.
[/QUOTE]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes, umebarikiwa.
Ni magonjwa kuna wengine wako prone to that kind of diseases just like other cases of diseases like malaria, typhoid, TB, pneumonia, diabetes,flu etc
namba 1 na 2 ni vitu navisikia tu sijawahi hata kuvipata I swear.
namba 3 U.T.I nishapata usichana wangu na nimegundua U.T.I kama ukiwa mtu wa kunywa maji sana hata lita 2 kwa siku huko ugonjwa ni historia kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Ulichonena ni sahihi. Uke hauhitaji mbwembwe. Unajisafisha wenyewe kama sikio. Nta ndio kitunza sikio ukishatumika husogea mlangon ndipo tunautoa na cotton buds. Watu ubishi ndio mwisho wananawia mtindi ili kurudisha bakteria walinzi ukeni
 
wewe utakua na tatizo la akili si bure kama unafikiri utoko ndio ute wa mapenzi wa mwanamke ..
sasa ngoja nikupe elimu ute wa mwanamke wa mapenzi unakua kama white egg unavutika ..
sio hiyo mitindi yako unayoichezea huko ukaona ndio ute pole weeh.

inapokuja swala la udi ni ushamba tu unakusumbua udi ni kama perfume unavyopulizia kwenye nguo same udi
Wewe unamatatizo kweli iweje ujipulizie udi ndo nyie mnapaka mate mkiwa wakavu.

Me napenda niikiingiza dudu itoke na utoko. Kitu kinakuwa kinateleza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe utakua na tatizo la akili si bure kama unafikiri utoko ndio ute wa mapenzi wa mwanamke ..
sasa ngoja nikupe elimu ute wa mwanamke wa mapenzi unakua kama white egg unavutika ..
sio hiyo mitindi yako unayoichezea huko ukaona ndio ute pole weeh..
inapokuja swala la udi ni ushamba tu unakusumbua udi ni kama perfume unavyopulizia kwenye nguo same udi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi hajui kujisafisha na kuweka unadhifu huko sehemu.matokeo yake ndio hayo ukichomeka ukitoa mauchau Kama alijishindia Lia Lita 5 ya mtindi pia hawajui thamani ya udi kwa mwanamke mi nawasifu Sana wanawake wa pwani unaweza wasafi Sana usafi wanaujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani Kama Ni kweli kuwa na utoko Ni ishara ya kutotiwa muda mrefu.

Kuna demu nilimlala nikakuta k kubwa na utoko juu.

Eeeh

Osheni k zenu bwana eboo.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora uwaeleze...
wanawake wengi masikini waume zako wanaogopa kuwaambia wanakuja kusemea nje
wanawake wenzangu jitahidi kuosha huko chini mbona asubuhi tu inatosha mkiwa mnaoga unashinda fresh tu siku nzima
Sidhani Kama Ni kweli kuwa na utoko Ni ishara ya kutotiwa muda mrefu.

Kuna demu nilimlala nikakuta k kubwa na utoko juu.

Eeeh

Osheni k zenu bwana eboo.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe utakua na tatizo la akili si bure kama unafikiri utoko ndio ute wa mapenzi wa mwanamke ..
sasa ngoja nikupe elimu ute wa mwanamke wa mapenzi unakua kama white egg unavutika ..
sio hiyo mitindi yako unayoichezea huko ukaona ndio ute pole weeh..
inapokuja swala la udi ni ushamba tu unakusumbua udi ni kama perfume unavyopulizia kwenye nguo same udi

Sent using Jamii Forums mobile app
Udi naona unatumiwa na waganga .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom