Katibukata
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 182
- 11
Pamoja na kasoro hizi, tulio wengi tumenufaika na njia hii ya kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mtandao. hasa M- pesa, inafika mahali ambapo benki haipo na wala haitaa iwepo!
Tusiweke Pesa nyingi, kama kiasi gani? mwisho wangu laki.
Pamoja na kasoro hizi, tulio wengi tumenufaika na njia hii ya kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mtandao. hasa M- pesa, inafika mahali ambapo benki haipo na wala haitaa iwepo!
tigo si salama msiweke pesa nyingi kabisa nimeshuhudia watu kila siku kilio icho mimi ni wakala ila inaniuma sana kwa tigo kulifumbia macho suala hili voda waliweza dhibiti kinachotokea ni kuwaweka hawa wanaowaita freelencer wanao renew line za tigo ndo wanaofanya mchezo huo mchafu kurenew line za wateja bila kufuata taratibu.
Ushauri wangu kwa tigo wafuteni hao freelencer wanao tembea mitaani ku renew line
hivi hawa watu wamitandao
hawajui kuhusiana na hili ama wanaamua kukaa kimya tu? Tigo ndio hakufai
kabisa watapoteza wateja wengi wasipo kua makini!.