jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Ukikutana na kundi la askari usiku na pengine wakakukagua na wakagundua unavyo vitu vya thamani ikiwa ni pamoja na kiwango kikubwa cha pesa na wakakuacha uendelee na safari yako nakuonya usije kujiamini tena!
Fanya yafuatayo kwa usalama wako;
Wasiliana na ndugu zako kwa sauti ukiwa na askari hao na uwajuze eneo ulilopo na upo na askari Polisi wanakukagua.
Ndani ya muda mfupi jitahidi kuwafahamu baadhi yao kwa majina yaliyopo katika sharti zao na ukiwa unawasiliana na nduguzo uwatajie na hayo majina na wao wakisikia
Usiwe mkweli kwao kwa kuwatajia uelekeo wako sahihi
Baada tu ya wewe kuondoka eneo walilopo kama una gari yako au usafiri wako binafsi tafuta eneo la kuuhifadhi na ondoka kama upo na haraka rejea nyumbani kwa mbinu za kificho na hata huo usafiriyo urejelee siku itayofuata
Usiku mwema!
Fanya yafuatayo kwa usalama wako;
Wasiliana na ndugu zako kwa sauti ukiwa na askari hao na uwajuze eneo ulilopo na upo na askari Polisi wanakukagua.
Ndani ya muda mfupi jitahidi kuwafahamu baadhi yao kwa majina yaliyopo katika sharti zao na ukiwa unawasiliana na nduguzo uwatajie na hayo majina na wao wakisikia
Usiwe mkweli kwao kwa kuwatajia uelekeo wako sahihi
Baada tu ya wewe kuondoka eneo walilopo kama una gari yako au usafiri wako binafsi tafuta eneo la kuuhifadhi na ondoka kama upo na haraka rejea nyumbani kwa mbinu za kificho na hata huo usafiriyo urejelee siku itayofuata
Usiku mwema!