NG'ADA
Senior Member
- Sep 2, 2011
- 152
- 15
hizi sehemu zinanishangaza....
sehemu imeandikwa ;
usitupe taka hapa....sehemu hiyo unakuta imejaa taka kibao...
si ruhusa kukojoa mahali hapa....harufu ya mkojo kwa kwenda mbele
usikae hapa, by utawala....watu kibao wamekaa....
na mengineyo mmeona...
haya matangazo yamewekwa juu ya uchafu?...au ni sisi watanzania tunapenda kwenda kinyume?
sehemu imeandikwa ;
usitupe taka hapa....sehemu hiyo unakuta imejaa taka kibao...
si ruhusa kukojoa mahali hapa....harufu ya mkojo kwa kwenda mbele
usikae hapa, by utawala....watu kibao wamekaa....
na mengineyo mmeona...
haya matangazo yamewekwa juu ya uchafu?...au ni sisi watanzania tunapenda kwenda kinyume?