mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,180
USITHUBUTU
*KUTIZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI QUESTION QUESTION STRESS TUPU*
*Mke:* _Honey timu gani zinacheza leo?_
*Mume:* ```Arsenal vs Manchester Utd```
*Mke:* _oooh safi sana, ninaipenda Arsenal._
*Mume:* ```Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```
*Mke:* _Drogba anacheza?_
*Mume: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```
*Mke:* _Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?_
*Mume:* [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```
*Mke:* _Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?_
*Mume:* ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```
_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```*_
*Mke:* [Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?_
*Mume:* [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```
*Mke:* [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde._
*Mume:* [kimya]
*Mke:* _Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?_
*Mume:* [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```
*Mke:* _Kwaio akitoka nje anaenda kuwa kocha?_
*Mume:* [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```
*Mke:* _kwaio kadi nyekundu ni kama taa za barabarani._
*Njano=Onyo*
*Nyekundu=Hatari*
*Mume:* [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.```
*Mke:* _Vipi kuhusu kadi ya kijani_
*Mume:* ```mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```
*Mke:* _Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia_
*Mume:* [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```
*Mke:* _Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?_
*Mume:* [akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```
*Mke:* _Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?_
*Mume:* [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko*
*KUTIZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI QUESTION QUESTION STRESS TUPU*
*Mke:* _Honey timu gani zinacheza leo?_
*Mume:* ```Arsenal vs Manchester Utd```
*Mke:* _oooh safi sana, ninaipenda Arsenal._
*Mume:* ```Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```
*Mke:* _Drogba anacheza?_
*Mume: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```
*Mke:* _Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?_
*Mume:* [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```
*Mke:* _Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?_
*Mume:* ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```
_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```*_
*Mke:* [Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?_
*Mume:* [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```
*Mke:* [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde._
*Mume:* [kimya]
*Mke:* _Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?_
*Mume:* [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```
*Mke:* _Kwaio akitoka nje anaenda kuwa kocha?_
*Mume:* [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```
*Mke:* _kwaio kadi nyekundu ni kama taa za barabarani._
*Njano=Onyo*
*Nyekundu=Hatari*
*Mume:* [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.```
*Mke:* _Vipi kuhusu kadi ya kijani_
*Mume:* ```mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```
*Mke:* _Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia_
*Mume:* [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```
*Mke:* _Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?_
*Mume:* [akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```
*Mke:* _Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?_
*Mume:* [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko*