orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,676
- 4,245
Angalia tuu iyo mbinu mkuu maana wanaipenda sana usijesema sijakuambiaKitu cha tigo kina ulinzi wake comon, bora uniue tu mkuu
Angalia tuu iyo mbinu mkuu maana wanaipenda sana usijesema sijakuambiaKitu cha tigo kina ulinzi wake comon, bora uniue tu mkuu
Una tupia nje kama Mugalu
Binadamu huangamia kwa kukosa maarifa.....Binti kigori kabisa, mweupee pee, kitako cha kubinuka kama tela, hilo ijabu anavyovaa, lipsi za mdomo zilivyokaa na marashi anavyonukia ndio basi tena,siku akitupia tight bamba na kijora mchoro unavyochoreka huko nyuma zero mie niko hoi,
Tayari ameshadata na kiepe yai mixer kachori na mishikaki ya kuku ya hapa kiwandani kwangu, kwenye kiwanda cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
Mme wake ni mpemba ana kazi kazi za kuuza uza viungo, na marashi huko mjini kati,
"Ndugu yangu mpemba nikuombe tu Samahani mkeo ikipita kesho kutwa sijamlamba sijui aisee, utanisamehe sana nimeshindwa kuvumilia mkeo ni Chombo amenishawishi"
Nimemtamani mkeo na tayari ameshanasa kwenye Ndoano yangu.
Ukitaka kuniroga we niroge tu, lakini mkeo lazima niishi nae.
Niko tayari.
Cc Zero IQ
Live tena?Mtanange lazima utakuwa live
Huo mzigo sio poa mkuu nasubiri mtanange wa simba uanze na mimi nianze mtanange wangu, maana huyo mpemba mwenyewe ni shabiki kindaki ndaki wa simba sc,Live tena?
Jamaa kama yupo humu, basi anakuchora tu.Huo mzigo sio poa mkuu nasubiri mtanange wa simba uanze na mimi nianze mtanange wangu, maana huyo mpemba mwenyewe ni shabiki kindaki ndaki wa simba sc,
Na game inachezwa ground ya Nyumbani dodoma lazima ataenda kutazama game Jamuhuri
Wapemba wako wengi, either niwakalishe wapemba wote nyumbani leo
Usitamani mke wa mtu ndio ilitakiwa iwe kichwa cha uzi.Binti kigori kabisa, mweupee pee, kitako cha kubinuka kama tela, hilo ijabu anavyovaa, lipsi za mdomo zilivyokaa na marashi anavyonukia ndio basi tena, siku akitupia tight bamba na kijora mchoro unavyochoreka huko nyuma zero mie niko hoi.
Tayari ameshadata na kiepe yai mixer kachori na mishikaki ya kuku ya hapa kiwandani kwangu, kwenye kiwanda cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
Mme wake ni mpemba ana kazi kazi za kuuza uza viungo, na marashi huko mjini kati, "Ndugu yangu mpemba nikuombe tu Samahani mkeo ikipita kesho kutwa sijamlamba sijui aisee, utanisamehe sana nimeshindwa kuvumilia mkeo ni Chombo amenishawishi" Nimemtamani mkeo na tayari ameshanasa kwenye Ndoano yangu.
Ukitaka kuniroga we niroge tu, lakini mkeo lazima niishi nae.
Niko tayari.
Cc Zero IQ