Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Binti kigori kabisa, mweupee pee, kitako cha kubinuka kama tela, hilo ijabu anavyovaa, lipsi za mdomo zilivyokaa na marashi anavyonukia ndio basi tena, siku akitupia tight bamba na kijora mchoro unavyochoreka huko nyuma zero mie niko hoi.
Tayari ameshadata na kiepe yai mixer kachori na mishikaki ya kuku ya hapa kiwandani kwangu, kwenye kiwanda cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
Mme wake ni mpemba ana kazi kazi za kuuza uza viungo, na marashi huko mjini kati, "Ndugu yangu mpemba nikuombe tu Samahani mkeo ikipita kesho kutwa sijamlamba sijui aisee, utanisamehe sana nimeshindwa kuvumilia mkeo ni Chombo amenishawishi" Nimemtamani mkeo na tayari ameshanasa kwenye Ndoano yangu.
Ukitaka kuniroga we niroge tu, lakini mkeo lazima niishi nae.
Niko tayari.
Cc Zero IQ
Tayari ameshadata na kiepe yai mixer kachori na mishikaki ya kuku ya hapa kiwandani kwangu, kwenye kiwanda cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
Mme wake ni mpemba ana kazi kazi za kuuza uza viungo, na marashi huko mjini kati, "Ndugu yangu mpemba nikuombe tu Samahani mkeo ikipita kesho kutwa sijamlamba sijui aisee, utanisamehe sana nimeshindwa kuvumilia mkeo ni Chombo amenishawishi" Nimemtamani mkeo na tayari ameshanasa kwenye Ndoano yangu.
Ukitaka kuniroga we niroge tu, lakini mkeo lazima niishi nae.
Niko tayari.
Cc Zero IQ