Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,511
Hata mama yako mzazi mkuu?Sio mama Mkwe tu bali mwanamke yeyote hakopeshwi!! Kama huamini jaribu!
Bora Mcpilipili alijiolea Mhaya
Akatoa na chozi akikumbuka pesa alizoliwa na Manka.
Hata mama yako mzazi mkuu???
Punguzeni sifa wana sio mchongo
Wakwe SI watu
Wazazi wa Kinyakyusa Wana utu pia wastaarabu ila ndugu zetu huko kwa wapika mbege 'mtihani'
Wanyaki wa Tukuyu sehemu flan inaitwa MwakaleliWanyaki wa wapi unaowasema wewe? Wanyaki hawa hawa nnaowajua mimi au? They are very controlling
Na Mbado tunawasubiri migombani. Karibuni sana ila mje na MbesaaHuyu mbona Katoa M7 TU...Mimi Kaka yangu kajenga UKWENI nyumba nzuri kabisaa
Nilienda nikabaki nashangaa tu
MmhKwani Ni lini wagogo wameacha kuomba omba wakaanza kuoa?
Mwisho Wa Siku unaweza ambiwa hawa mapacha ni Wa Nyange .Bora uhonge mchepuko TU...Akuzalie mapacha