connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,296
Pesa Ndo kila kitu
Lakini hakumpiga pipeTengeneza uzi kbs story inaonekana inavutia
Kakaako ni miongoni mwa maajabu 7 ya dunia 🤣🤣🤣!!!Huyu mbona Katoa M7 TU...Mimi Kaka yangu kajenga UKWENI nyumba nzuri kabisaa
Nilienda nikabaki nashangaa tu
Ni wale wale asikundanganye mtuIla nasikia wachaga wa Rombo sio Palestinian! Sijui ni kweli hili! Wao wana roho nzuri,sio mbaya sana
Nina Cousin (bamdo) wangu hapa Muarusha kaoa kanda ya ziwa. Jamaa bandidu kweli sijui guts anazitoa wapi.
Hataki ndugu yoyote wa mke aje kwake na akija akalale gesti sio kwake.
Anakuambia imeandikwa
"mke na mume watawaacha baba na mama na kuishi wenyewe" sasa hapo ndio anapojitetea
Daah. Hatari sanaMama Mkwe anataka pesa Shikamoo peleka kwenu huko Dodoma
Mkuu...nikopeshe 50K...mshahara ukitoka nakurudishia