manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,317
Kwani hizo alizipataje aahindwe kupata nyingine? Na je biashara ikiyumba si afadhali hata uwe na kiwanja unakiona and you can be proud of it kwamba nimewekeza hapaUkipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.