jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 465
- 430
Umuhimu wa nyumba ni mkubwa lakini unaijengajengaje ikiwa fendha yenyewe haina uhakika?! Bora kuwa na kiwanja kisha kuanzisha mradi utakaokuwezesha kuijenga hiyo nyumba kwa awamu hata kama utaijenga kwa miaka mitatu na zaidi.Haya mambo ni magumu kuyashauri jamani inategemea na interest za mtu na maisha aliyomo pia, mleta uzi unaweza kuwa sahihi kwa upande mwingine usiwe sahii ila inategemea na mtu, kwani hata historia zetu ziko tofauti, ila nyumba ni muhimu hata kabla sijawa na chochote kile.