binafsi sijawahi ona mtu akaanza nunua gari akashindwa jenga nyumbaYaanj uache kununua gari ujenge nyumba?,??? Sasa utazungukaje mjini kutafuta pesa
Si unatumia Tz 11 mkuuYaanj uache kununua gari ujenge nyumba?,??? Sasa utazungukaje mjini kutafuta pesa
Acha kupotosha umma...... Kama unauwezo wa kujenga ni bora ukajenga kwanza sababuUkipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
we hilo gari la kutembelea huna na kiwanja pia huna!acha kusoma nukuu za magazeti ya udakuUkipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Uko sahihiAcha kupotosha umma...... Kama unauwezo wa kujenga ni bora ukajenga kwanza sababu
1. Nyumba ni asset ambayo value yake inaongezeka kadiri muda unavyokwenda.
2.Nyumba unaweza kuitumia kama dhamana ili upate pesa ya kuweza kukuza mtaji au kuongeza vyanzo vya kipato chako.
3. Kwa hali ya kichumi ya sasa unapoanzisha chanzo kipya cha kipato ni kama kutake risk, mazingira si mazuri na nirahisi kupoteza kuliko kuongeza, hivyo kama hela yako si endelevu basi ni bora ukawekeza kwenye kitu chenye uhakika ambacho kitaonekana kuliko kucheza pata potea.
4.Ukiwa na nyumba unakuwa na aman, hata Ukitoka kutafuta umepata au hujapata ila unajua jioni unarudi kwako ambapo hakuna atakaekubuguzi.
5.Ukiwa na nyumba inakuongezea confidence, unakuwa unajiamini, unaweza kufanya unachotaka kwenye eneo lako, tofauti ukiwa nyumba ya kupanga lazima uombe ridhaa ya mwenye nyumba, hata hitilafu ya umeme huwez ita fundi bila kuwasiliana na mwenye nyumba .
6. Nyumba ni security ya maisha yako, hata mambo yakiyumba inaweza kukusitiri badae, tofauti na biashara ambayo haitabiriki... Mda wowote inaweza kufa.
Points zipo nyingi.... Ila kwa hizo chache mkuu natumai nimekuonesha kuwa kujenga ni muhimu sana kuliko kuongeza chanzo cha mapato... Hasa kama hela yako si endelevu..
Nina kiwanja nina cash 5M, nifanye kitu gani cha kuongeza kipato?Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Kweli we baba mtakatifu lolAcha kupotosha umma...... Kama unauwezo wa kujenga ni bora ukajenga kwanza sababu
1. Nyumba ni asset ambayo value yake inaongezeka kadiri muda unavyokwenda.
2.Nyumba unaweza kuitumia kama dhamana ili upate pesa ya kuweza kukuza mtaji au kuongeza vyanzo vya kipato chako.
3. Kwa hali ya kichumi ya sasa unapoanzisha chanzo kipya cha kipato ni kama kutake risk, mazingira si mazuri na nirahisi kupoteza kuliko kuongeza, hivyo kama hela yako si endelevu basi ni bora ukawekeza kwenye kitu chenye uhakika ambacho kitaonekana kuliko kucheza pata potea.
4.Ukiwa na nyumba unakuwa na aman, hata Ukitoka kutafuta umepata au hujapata ila unajua jioni unarudi kwako ambapo hakuna atakaekubuguzi.
5.Ukiwa na nyumba inakuongezea confidence, unakuwa unajiamini, unaweza kufanya unachotaka kwenye eneo lako, tofauti ukiwa nyumba ya kupanga lazima uombe ridhaa ya mwenye nyumba, hata hitilafu ya umeme huwez ita fundi bila kuwasiliana na mwenye nyumba .
6. Nyumba ni security ya maisha yako, hata mambo yakiyumba inaweza kukusitiri badae, tofauti na biashara ambayo haitabiriki... Mda wowote inaweza kufa.
Points zipo nyingi.... Ila kwa hizo chache mkuu natumai nimekuonesha kuwa kujenga ni muhimu sana kuliko kuongeza chanzo cha mapato... Hasa kama hela yako si endelevu..
Acha kupotosha umma...... Kama unauwezo wa kujenga ni bora ukajenga kwanza sababu
1. Nyumba ni asset ambayo value yake inaongezeka kadiri muda unavyokwenda.
2.Nyumba unaweza kuitumia kama dhamana ili upate pesa ya kuweza kukuza mtaji au kuongeza vyanzo vya kipato chako.
3. Kwa hali ya kichumi ya sasa unapoanzisha chanzo kipya cha kipato ni kama kutake risk, mazingira si mazuri na nirahisi kupoteza kuliko kuongeza, hivyo kama hela yako si endelevu basi ni bora ukawekeza kwenye kitu chenye uhakika ambacho kitaonekana kuliko kucheza pata potea.
4.Ukiwa na nyumba unakuwa na aman, hata Ukitoka kutafuta umepata au hujapata ila unajua jioni unarudi kwako ambapo hakuna atakaekubuguzi.
5.Ukiwa na nyumba inakuongezea confidence, unakuwa unajiamini, unaweza kufanya unachotaka kwenye eneo lako, tofauti ukiwa nyumba ya kupanga lazima uombe ridhaa ya mwenye nyumba, hata hitilafu ya umeme huwez ita fundi bila kuwasiliana na mwenye nyumba .
6. Nyumba ni security ya maisha yako, hata mambo yakiyumba inaweza kukusitiri badae, tofauti na biashara ambayo haitabiriki... Mda wowote inaweza kufa.
Points zipo nyingi.... Ila kwa hizo chache mkuu natumai nimekuonesha kuwa kujenga ni muhimu sana kuliko kuongeza chanzo cha mapato... Hasa kama hela yako si endelevu..
Nakubaliana na wewe asilimia 100Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Ni kweli,mimi ni mwadhirika wa hiliUkipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Unaweza jenga nyumban ya vyumba 3 na sebule tena self kwa hiyo pesa kama uko mkoani hasa ila sio dar wala kaskazimi kwa ujumla wakeNina kiwanja nina cash 5M, nifanye kitu gani cha kuongeza kipato?