elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Sisi wanaume kuambiwa kwamba tuishi na hawa wenzetu kwa akili haina maana kwamba wao wanaakili kuliko mwanamme hapana bali ni uwezo wao wa janja janja kucheza na uhitaji wetu wa kingono.... hapa kumbuka gunduzi nyingi duniani ni mazao ya akili za mwanamme na hili halina ubishi.
Akili inayozungumziwa ni hii
A. Mpumbavu ni mtu asie na akili nae vipaumbele vyake wakati wa uhai wake hapa duniani viko hivi
1.Pesa
2. Wanawake
3.Yeye nafsi yake
4. Mungu
Mtu huyu wanawake wapo juu ya nafsi yake
B Mtu mwenye akili vipaumbele vyake ni hivi
1. Mungu
2.Nafsi yake
3.Pesa
4. Wanawake
C. Pia Mtu huyu asie na akili hajui kwamba mwanamke humtumia mwanamme ili ajinufaishe yeye kwa jina la mapenzi akisahau kwamba Mwanadamu hawezi kupenda.
Mtu mpumbavu husahau kanuni hii muhimu ya “ self-preservation” ambayo ni kanuni ya kike ukiitofautisha na kanuni ya kipumbavu ya wanaume wengi ya kujitoa muhanga “ self sacrifice”
Hii hutokea kwa mwanamme asiye na broad Perspective ya maisha kwamba mambo anayoyahangaikia in 100 years walau hayatamsaidia kitu so yupo radhi ajitoe muhanga hata kuangamiza nafsi yake kwa ajili ya Kum*
Mtu mwerevu hawezi iangamiza nafsi yake kwa ajili ya mtu mwingine awaye yote awe mke, mtoto, ndugu ama mzazi na anapotoa msaada husaidia pale anapoweza tu na siyo vinginevyo,kuna kristo mmoja tu.
D. Hakuna Mwanamke mmoja kati ya wanawake Bilioni Tano ambae eti Mungu amekuumbia...
Unaweza kuwa na Mwanamke yeyote... hapa mwanamme jiangalie usije kujikuta mwanamke amekuwahi ukajikuta unasettle na kucommit kwa mtu mapema kabla hujaamua...
Wanawake ni watu wa show off kwa friends wao na huringishiana na wana vigezo vya juu sana linapokuja swala la mwanamme wa kuwa nae.
Hapa namanisha mwanamme kuwa na vigezo acha kusettle na wanawake wa kawaida
Hujazaliwa kwa ajili ya Mtu yeyote bali kwa ajili ya Mungu kwanza,Wewe pili na Watu wengine tatu...
Wanawake huwadanganya wanaume wanaowadate and usije assume mwanamke hana mbinu... Kila mwanamke anambinu, tena za kivita kuweza kukukeep
Kwa hiyo Mwanamme mwenye akili ni yule ambae anayajua hayo
Akili inayozungumziwa ni hii
A. Mpumbavu ni mtu asie na akili nae vipaumbele vyake wakati wa uhai wake hapa duniani viko hivi
1.Pesa
2. Wanawake
3.Yeye nafsi yake
4. Mungu
Mtu huyu wanawake wapo juu ya nafsi yake
B Mtu mwenye akili vipaumbele vyake ni hivi
1. Mungu
2.Nafsi yake
3.Pesa
4. Wanawake
C. Pia Mtu huyu asie na akili hajui kwamba mwanamke humtumia mwanamme ili ajinufaishe yeye kwa jina la mapenzi akisahau kwamba Mwanadamu hawezi kupenda.
Mtu mpumbavu husahau kanuni hii muhimu ya “ self-preservation” ambayo ni kanuni ya kike ukiitofautisha na kanuni ya kipumbavu ya wanaume wengi ya kujitoa muhanga “ self sacrifice”
Hii hutokea kwa mwanamme asiye na broad Perspective ya maisha kwamba mambo anayoyahangaikia in 100 years walau hayatamsaidia kitu so yupo radhi ajitoe muhanga hata kuangamiza nafsi yake kwa ajili ya Kum*
Mtu mwerevu hawezi iangamiza nafsi yake kwa ajili ya mtu mwingine awaye yote awe mke, mtoto, ndugu ama mzazi na anapotoa msaada husaidia pale anapoweza tu na siyo vinginevyo,kuna kristo mmoja tu.
D. Hakuna Mwanamke mmoja kati ya wanawake Bilioni Tano ambae eti Mungu amekuumbia...
Unaweza kuwa na Mwanamke yeyote... hapa mwanamme jiangalie usije kujikuta mwanamke amekuwahi ukajikuta unasettle na kucommit kwa mtu mapema kabla hujaamua...
Wanawake ni watu wa show off kwa friends wao na huringishiana na wana vigezo vya juu sana linapokuja swala la mwanamme wa kuwa nae.
Hapa namanisha mwanamme kuwa na vigezo acha kusettle na wanawake wa kawaida
Hujazaliwa kwa ajili ya Mtu yeyote bali kwa ajili ya Mungu kwanza,Wewe pili na Watu wengine tatu...
Wanawake huwadanganya wanaume wanaowadate and usije assume mwanamke hana mbinu... Kila mwanamke anambinu, tena za kivita kuweza kukukeep
Kwa hiyo Mwanamme mwenye akili ni yule ambae anayajua hayo