Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #61
Umejibiwa vizuri. Kataa wenzio ndio tunaondoka hivyoEti utaratibu wa raia pacha, nani kauweka,si binadamu tuu,tena kwa interests hasi.Achaneni na kusombwa na ideas fake zenye nia ovu,be pragmatic,that is deal with things sensibly and realistically in a way that is based on practice rather than theoretical considerations.
Freedom is coming tomorrow!!!!!
Mwelekeo mpya kwa uraia pacha
Balozi Mulamula alisema suala la diaspora kupiga kura linahitaji utaratibu na miundombinu, hasa kwa kutumia teknolojia kama zinavyofanya nchi nyingine zilizofanikiwa kwa kutumia mifumo ya kimtandao.
www.mwananchi.co.tz