YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
In short hujielewi Tanzania is not a photocopy machine or copy cat of any country.That is why we are called Tanzania hatuitwi majina ya hizo Nchi.Hatuitwi Kenya or Rwanda or South Africa etcYaani wewe katika kufikiri kwako na conspiracy theory zako, katika ncho zoote Africa zinazoruhusu uraia pacha hilo hawajaliona ila wewe tu ndio una busara ya kuliona? Angalia ramani hapa chini hadi sasa ni nchi ngapi Afrika zimebaki madungaembe ya uraia pacha kwa kuwa zina mawazo kama unayosema. Yaani hawa wote ni peke yako ndio ukabaki na pua, basi wewe ndio utakaekuwa mwenye ulemavu wa pua. Fikiria hilo kwa makini.
View attachment 1883768
We are not copy cats please