Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 625
- 1,251
Kilichonichosha kulipa ni riba kubwa yaani nilikopa 10,000 me niliyotumia ni 9000 tu baada ya makato ya pesa ya kutolea ila wao niwalipe 13,080
Wapi na wapi hawapati kitu, silipi deni lao yaani wapate faida ya 4080 kweli??
Wapi na wapi hawapati kitu, silipi deni lao yaani wapate faida ya 4080 kweli??