Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Mwalimu wa Historia
Mwl:Eeehe! Nam Alimuua Chifu
Mkwawa?
Mwnafunz wa 1:Aka sio mimi
Mwanafunzi wa 2:Wallah Sihusiki
Mwanafunzi wa 3:Kwanza jana ckuja.
shule,
Mwlimualipoona Wanafunz Wote ni Majuha akumuita
Mwl
Mkuu,Nae akawauliza kwa vitish wote kmya.
Ndpo
Mwl Mkuu akamnong'oneza"Mwl Una Uhakika Muuaji
Yupo Darasa Hili?
Mwl:Eeehe! Nam Alimuua Chifu
Mkwawa?
Mwnafunz wa 1:Aka sio mimi
Mwanafunzi wa 2:Wallah Sihusiki
Mwanafunzi wa 3:Kwanza jana ckuja.
shule,
Mwlimualipoona Wanafunz Wote ni Majuha akumuita
Mwl
Mkuu,Nae akawauliza kwa vitish wote kmya.
Ndpo
Mwl Mkuu akamnong'oneza"Mwl Una Uhakika Muuaji
Yupo Darasa Hili?