jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
umenikumbusha kuna 'sista duu' mmoja nilimuuliza shule umemaliza lini
akanijibu 'two hours ago' mwenyewe ndo kasema miaka miwili iliyopita...lol
hahahahahaha The B, kwa sound we ni noma! Kisa cha uswazi watu na kusema nidipu wakimaanisha "ni-beep" badala ya "ni-miscall"