Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nikiyaona tu hayo mawigi nahisi yananuka jasho! Kha! Kwani mtu kama akinyoa dongo incase hajajaaliwa nywele itakuaje? Hehehe!
- Kuvaa mkanda wa plasitic,
- Mshati yenye picha picha,
- kuwa na nguo inayoonyesha ishara ya mti wa bangi,
- Viatu vilivyoisha sole na kwenda upande,
- Kuvaa suti yenye rangi mbili,
- Kuwa na wallet mbovu iliyochakaa,
- Kuvaa suti na sandals
- Kuvaa cheni fake,
- Kuvaa mipete zaidi ya moja kwenye mkono tena fake!
- Kuweka makalamu mengi kwenye mfuko wa suti.
- Kutembea nakitambulisho nje mazingira yako ya kazi,
- Kuvaa kamba yenye flash disk hadi kwenye ma baa
- Kuwa kwenye baa na kuanza kuwasha laptop
Mengine endelezeni
mhhhh!!
vyote mbaya unapokuwa kwenye public.
Nikuulize swali - ukiwa kwenye conference/meeting au kanisani/msikitini, ukibanja unatema chini au unafanyaje?
Kujifanya unachomekea misemo ya kiingereza katika sentensi hata zisizohusiana!
Hii unafanyeje uko ndani ya ofisi za watu??inabidi utupie tumboni!!
unatoa business card yenye vyeo lukuki....
ceo,phd,mjumbe wa nyumba kumi,mwenyekiti wa saccos lol
umenikumbusha kuna 'sista duu' mmoja nilimuuliza shule umemaliza lini
akanijibu 'two hours ago' mwenyewe ndo kasema miaka miwili iliyopita...lol
Kujifanya unachomekea misemo ya kiingereza katika sentensi hata zisizohusiana!