inama
Senior Member
- Oct 9, 2021
- 181
- 349
Habarini wana JF natumai muu wazima
Kilichonifanya niwe hapa ni speed yangu katika mahusiano nimekua mtuu wakuharakisha mambo sana.
Mfano naweza muomba mwanamke namba alafu halijapita lisaa nikamtongoza hii inapelekea nikataliwe
Au naweza chukua namba alafu chakuchat sina ila kupiga mistari nipo fresh
Msaada nyie wenzangu mnawezaje kuvumilia au mnapataga wapi mada za kusogeza siku ili uweze kumtongoza
Kilichonifanya niwe hapa ni speed yangu katika mahusiano nimekua mtuu wakuharakisha mambo sana.
Mfano naweza muomba mwanamke namba alafu halijapita lisaa nikamtongoza hii inapelekea nikataliwe
Au naweza chukua namba alafu chakuchat sina ila kupiga mistari nipo fresh
Msaada nyie wenzangu mnawezaje kuvumilia au mnapataga wapi mada za kusogeza siku ili uweze kumtongoza