General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Ndio,Wanawake visirani na wenye gubu una experience nao?
Nimekulia temeks nn
Ndio,Wanawake visirani na wenye gubu una experience nao?
Ok mkuu...usipaniki tayari una janga!Mkuu akileta uzi unaofanana na huu (copy and pest)
Nakuhakikishia sitoishi,inawezekana kuna mtu amepitia hali kama hii lakini nakuapia siyo copy and paste!
Hii imenisibu mwenyewe,na picha za jeraha nimezipiga mwenyewe!!!
Kweli. Maana nimeandika na kufuta zaid ya mara 3
Mkuu sinaga kawaida ya kudanganya,namshangaa mtu anayekuja kubisha eti picha si halisi!Ok mkuu...usipaniki tayari una janga!
Huna picha za hospitalin kuonesha bandeji or something else related this saga?
Mkuu bado ngoma mbichi. Nimeamua kuangalia tu mambo yajiendeshe menyewe. Siku nyingine huwa najitoa ufahamu tu. Mwanzoni nilikuwa siwezi hata kuvuka barabara kwa mawazo hadi naomba watoto wa shule wanivushe.Uli-solve vipi mkuu,naomba uzoefu wako kwenye hili tafadhali!!
Huhuhuhu wuuuii aje aone ya Mungu yalivyo mengi wallahAje sasa yule wa kufurahia michepuko
Mungu akutie nguvu manake unaweza tafuta wa kumlaumu na usimwoneNajitahidi sana nisifike huko!!
mkuu tumegee kisa tupate kujifunza ya ulimwengu wa mapenziMimi nina kisa changu kiasi flani kinataka kufanana na chako. Nikiamua kukielezea hapa jukwaa litasimama.
Ni historia ambayo imenifanya niyaone mapenzi yanaweza kuleta huzuni kubwa sana. Unajikuta upo katikati na kila mtu anakuhitaji na unashindwa umchukue yupi umwache yupi. Acha kabisa.
we mwenyewe una mambo sana..unawezaje ishi na mtu anataka kujiua...kesho atajiua utakula wewe msala ule maisha jela kwa kuua kumbe kajiua..au akukate mbisu kwa kukomoa basi wa Singida akukose kabisa...yani we unacheza na HATARIMkuu sinaga kawaida ya kudanganya,namshangaa mtu anayekuja kubisha eti picha si halisi!
Binadamu bhana wana mambo sanaaa!!!