JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 471
Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
msimu wa kilimo mwakan tutakutana shambani nimeshaorder kama heka 200 ni 50000 per heka za kulima mahindi,maharage,alizeti,ngano,mbaazi na uwele hizi kazi za kuajriwa ni za kupatia mtaji tu unaweza kuishiwa hata nguvu za kiume kisha stress
#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja
Gunyumba hagujaisha kujenga
Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan hata hamu na bint yeyote sina mm pesa yaan pesa tu
msimu wa kilimo mwakan tutakutana shambani nimeshaorder kama heka 200 ni 50000 per heka za kulima mahindi,maharage,alizeti,ngano,mbaazi na uwele hizi kazi za kuajriwa ni za kupatia mtaji tu unaweza kuishiwa hata nguvu za kiume kisha stress
#Ama kweli Pesa kwanza mengine mazuri huja