Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,377
Tumuombe Mungu aendelee kutupigania tuww na Afya njema
Duuuh! Kampuni gani aliagizia? Ni gari gani?Kuna uncle wangu katapeliwa mil 50 aijifanya mjuaji kuagiza Gari mtandaoni..
Sasa yamemkuta hili haliwezi kumuacha salama.
Kuibiwa,kufilisiwa,kutapeliwa hayo nayo yanatuachaga vbya.
Afya kwanza ndio utajiriYaani unatumia savings zako halafu unaanza kukopa... Niliwahi ugua wiki 3 lakini mpaka leo sisahau ile moment. Mtaji wa kwanza wa mwanadamu ni Afya.
Na iwe hivyo mkuuTumuombe Mungu aendelee kutupigania tuww na Afya njema
Huyo inabidi awe na mtu karibu kwa ajili ya uangaliziKuna uncle wangu katapeliwa mil 50 aijifanya mjuaji kuagiza Gari mtandaoni..
Sasa yamemkuta hili haliwezi kumuacha salama.
Kuibiwa,kufilisiwa,kutapeliwa hayo nayo yanatuachaga vbya.
Ongezea cha tatu
kuoa
Aongeze cha tanoAongezee cha nne
Kulogwa.