Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,165
Watu wengi hupenda kununua vitu vya thamani na kuishi navyo kwenye nyumba za kupanga (nyumba za wanaume wenzao, waliojinyima na kuweka mijengo).
Kufanya hivyo, kunawafanya watu wengi kuishi muda mrefu kwenye nyumba za kupanga, na kusahau kujenga nyumba zao.
Utakuta mtu ana kipato kizuri; lakini utashangaa atakimbilia kununua gari, music system ya gharama, tv kubwa ya gharama n.k, na hivyo vyote anavipaki kwenye mjengo wa mwanaume aliyejinyima na kutimiza ndoto zake.
Inapotokea kipato kimeyumba, na kushindwa kujikimu kwenye kodi ya pango; wanakosa sehemu ya kwenda kuvipaki vitu walivyovinunua kwenye nyumba ya kupanga; matokeo yake ni kuanza kuviuza kwa bei ya hasara.
Ushauri; kwenye nyumba za kupanga, weka godoro, kitanda na vitendea kazi vya kupikia tu.
Salio linalobaki; nenda katafute kiwanja ujenge
Kufanya hivyo, kunawafanya watu wengi kuishi muda mrefu kwenye nyumba za kupanga, na kusahau kujenga nyumba zao.
Utakuta mtu ana kipato kizuri; lakini utashangaa atakimbilia kununua gari, music system ya gharama, tv kubwa ya gharama n.k, na hivyo vyote anavipaki kwenye mjengo wa mwanaume aliyejinyima na kutimiza ndoto zake.
Inapotokea kipato kimeyumba, na kushindwa kujikimu kwenye kodi ya pango; wanakosa sehemu ya kwenda kuvipaki vitu walivyovinunua kwenye nyumba ya kupanga; matokeo yake ni kuanza kuviuza kwa bei ya hasara.
Ushauri; kwenye nyumba za kupanga, weka godoro, kitanda na vitendea kazi vya kupikia tu.
Salio linalobaki; nenda katafute kiwanja ujenge