lbaraka
JF-Expert Member
- Feb 24, 2014
- 393
- 248
Yaani humu watu mna vituko aise. Eti labda uibiwe..๐๐๐๐๐Nitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.