SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,616
- 925
hii picha itawaadabisha, wangevaa nguo za kiraia, pili huyo mke wa mtu kama ni askari mwenzake patatembea risasi za moto. yaani patachimbika
.... kazi na dawa
.... kazi na dawa
Kosa la kwanza: kuselebuka na mavazi rasmi ya Jamhuri
Kosa la pili: bidada ni make wa mtu, angalia kavaa pete ya ndoa
Mshana Jr.
Mi sioni kama ni big deal kivile! Kosa la kwanza, ni muhimu kujua sheria zilizopo au kanuni za jeshi zinasemaje. Wengi hapa hatujui tunarush tu kucomment na kuwajudge hawa binadamu wenzetu. Ukiangalia picha utaona kuwa wametafuta sehemu ambayo ni faragha kabisa, its not like wanafanyia kando ya barabara ambapo kila mtu anawaona. What if walikua kwenye lunch brake yao? Sheria inakataza watu kupigana mabusu? Think of wapenzi wawili wanaofanya kazi bank au vodacom, hawawezi kufanya hivi wakiwa kwenye brake yao ya lunch? Ni wazi kuwa mpiga picha aliwapiga hii picha kwa kuibia which is a breach of their privacy.
Kosa la pili, unaonekana unahakika kuwa hawa sio mtu na mume just by looking at this picture. What if they are? Jamani vitu vya kawaida sana, we should get used to kissing in public. Kama wangekutwa wamevuana nguo wanapeana mambo labda ningeelewa what all this fuss is about..
CHUAKACHARA naamini umetambua ukweli sasa kuwa haikuwa fotoshopmbona namba za utambulisho hazionekani kwa wote? mashaka kama sio za photoshop
CHUAKACHARA naamini umetambua ukweli sasa kuwa haikuwa fotoshop