Utaratibu huo bado upo tu, hiyo night stand ni kwa wafanyao biashara lakini kwa mdada wa kisure lazima uswage not less than 3 months at least.
Miaka miwili unazungushwa na wewe umebaki kufatilia kweli unahaki ya kudharauliwa wewe.kuzungushwa ndo safi inajenga hisia kali ya mapenzi. mbona miez 3 michache sana, mie nilizungushwa 2 yrs, na nampenda mpaka leo!
Ndechumia, wajanja wote siku hizi wanataka mtera maana na haya maambukizi inakuwa kama nafuu fulaniRaha ya kuzungusha ukimpata bwana hadi raha!!
hebu fikiria mlupo umeulia misele miezi mitatu alaf siku ya siku akaingia lain anakuambia "honey bas mi nitakija j2" usiku hulali na j2 inaonekana ipo mbali.
wakati huo huo unajenga picha ya game litakavyokuwa kali, hiyo ndo raha ya kuzungushwa bwana inaamsha mapenzi.
Hasara: inafika j2 unakuta uwanja ni mkubwa kama kiwanja kile cha barca, alaf kama vile mtera!!!! unajiuliza miez 3 ndo nilichokuwa nakitafuta? kula U turn.