Usiniite malaya kwani hunijui..

BABA JUICE

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
426
52
Kuna posti nimesoma huku ndani na ikanifanya niandike hii mada...kwa kifupi jamaa alikutana na mwanamke kwa siku moja akamtongoza na mapenzi akapewa...basi amekuja huku ndani anasema huyo mwanamke ni kicheche...je yeye ni nani? Kwangu hilo si swali wala mada.

Kila mtu yupo bize na mambo yake na muda mwingi hasa madada zetu hawa wanatafuta pesa sio kama miaka ya nyuma..kwahiyo kama umemtongoza mwanamke akakukubalia usimuone malaya ni kwamba hana muda wa kukuzungusha au kuwa na mahusiano na wewe anachotaka ni kutimiza haja yake na kuondoka so wewe ukimona malaya ni juu yako hata wao wanahisia...

Kwa hiyo ukikutana na mwanamke akawa rahisi kwako usimuone malaya wewe mueshimu.....unajua ni taboo kwa waafrika kwa mwanamke kuwa na mwaume zaidi ya mmoja lakini wanaume wenyewe sisi hatushikiki so usimuhukumu mwanamke anaekukubalia haraka.....wewe mtazamo wako ni UPI
 
narud badaye napita tuu,


anyway ngoja niendelee,huyo jamaa naye ***** tu, mambo sahv yamebadilika unaweza ata kutongoza wanawake watano na wote ukchapa fresh tu inategemea na afya yako ipoje. wanawake weng sahv ni cheep sana although bado wamo wanaojiheshimu.

uyo jamaa hapaswi kumlaumu huyo mwanamke.
 
hili neno malaya ni neno lenye maana chungu nzima

kutoka jamii moja kwenda nyingine
wengine ni msichana anaejiuza
wengine ni msichana asiye na mume mwenye umri wa kuwa na mume
wengine hata msichana mwenye boyfriend nimalaya
wengine hata kuvaa kimini ni umalaya
wengine..............the list is endless
 
we naona unajaribu kutumia tafsida haya basi tumuite muokoa muda "TIME SAVER" lakini kwangu mimi she is just a B_i_t_c_h very sweet b_i_t_c_h
 
Inaonekana na wewe ni wa style hiyo. Badilika, magonjwa ni mengi siku hizi.
 
Inaonekana na wewe ni wa style hiyo. Badilika, magonjwa ni mengi siku hizi.

kuna watu wananalilia uhuru wa kutoa mawazo lakini hawajui inamaana gani! au gender balance kwamba mwanamke na mwanaume ni sawa. ukiangalia kwa mapana hakuna kitu kama hicho, wengi wanaonyanyasa wanawake utakuta ni watu wa dini au hawana elimu. dont judge me bro coz u dont know me!
 
kuna watu wananalilia uhuru wa kutoa mawazo lakini hawajui inamaana gani! au gender balance kwamba mwanamke na mwanaume ni sawa. ukiangalia kwa mapana hakuna kitu kama hicho, wengi wanaonyanyasa wanawake utakuta ni watu wa dini au hawana elimu. dont judge me bro coz u dont know me!
<br />
<br />
kwa mtazamo wako ulivyouonyesha kuhusu kukubaliwa haraka kwa nia njema ya kuokoa muda hasa ukizingatia time is money,atleast he knows you...teh teh!
 
kuna watu wananalilia uhuru wa kutoa mawazo lakini hawajui inamaana gani! au gender balance kwamba mwanamke na mwanaume ni sawa. ukiangalia kwa mapana hakuna kitu kama hicho, wengi wanaonyanyasa wanawake utakuta ni watu wa dini au hawana elimu. dont judge me bro coz u dont know me!

dont knw your name either,...........ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!..hala hala mti na macho
 
I dont understand this thing: kwa nini mwanamke anayetongozwa akakubali siku hiyo hiyo anaitwa malaya wakati mwanaume aliyetongoza haitwi malaya? Does it mean umalaya kwa mwanaume sio kosa au ni sifa? Nisaidiane jamani
 
women zamani walikua wanapenda GAME, PLAY HARD TO GET...ilaa anae nisumbuaa sanaa,lazimaa ntamuumizaaa baadae,kulipizaa kisasiii,unajuaa ile ooh..mi sikutaki,ooh mara sinaa na fasiii penzi langu linazidi kuporomokaa kamaa lilikua 20% linaa shukaaa hadiii 3.5%.mwisho wasiku kwakuwaa nilipotezaa mda kumfataa lazimaa nisumbukee mpaka ni mgetii ni myuziii kama bigjiii then ni mtemee.ilaaa GAL AMBAE NTAMWAMBIA ISIA ZANGU na kunielewa haraka bilaa kunipaa jeraha na usumbufu,uwagaa nawapendaa sanaa na tunadumu na kuwaishimu sanaaa
 
duh hii sasa balaa kwa hiyo wasichana wa kisasa hawataki kupoteza muda wkija kumi twende fasta muda usipotee weeeee angalia sana utamegwa kila kukicha lazima uwe namsimamo na chaguo lako kuxxxxxxxx
 
we naona unajaribu kutumia tafsida haya basi tumuite muokoa muda &quot;TIME SAVER&quot; lakini kwangu mimi she is just a B_i_t_c_h very sweet b_i_t_c_h
<br />
<br />
he he he kwani muhusika ni mmoja si wawili,wote ni malaya mwanamke na mwanaume,coz kwani mwanaume gani anayejiheshimu na mwenye akili timamu atakutana 2 na mdada na kulala siku hiyo hiyo?
 
Wanawake nao wanahisia. Ana miezi kadhaa kitu hakizamishiwa kitu halafu wewe unatokea unafikiri atakataa. Wewe lengo la kumfata ni ili akubali upige mambo, akikataa ana ringa!. Nawapenda sana wanawake wa aina hiyo.
 
mimi i think kwamba vitu vingi vimekwishajadiliwa hapa MMU...

au vipi ndugu yangu wa ukweli The Boss?
 
mmmmhh hapa ndipo utagundua vicheche wakishapata wanachokitaka..

kila mmoja na comment zake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom