silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Hehehehe
Ujue Kikwete huwa anaulizwa Whats wrong with you country?
Kwasababu Mungu ametujaalia Lasilimali zenye utajiri mkubwa sana ambazo Nchi nyingi sana za ulaya zimeendelea kupitia Lasilimali hizi za Tanzania. Sasa Kinacho Shangaza Mwizi anaendelea lakini mwenye nacho anakwenda kumuomba mwizi wake Msaada.
Hehehehe Tuna ongozwa na Raisi wetu kwenda kujitangaza kuwa sisi ni Ombaomba wakati Rasilimali tunazo nyingi tu.
Yaani Mapato tu ya Mbuga za Wanyama, zinatosha sana kwa kuiendeleza Tanzania hii, Bado sijaongelea Tanzanite, sijaongelea Migodi mingine around Tanzania, Bado sijauongelea Mlima Kilimanjaro, kuna vivutio vingi sana huko Kilombero, hadi Chemchem ya Ajabu ipo kule.
Lakini nini kinatufanya tuwe Ombaomba? Jibu unalo sasa tufanyeje? na kwanini hatufanya sasa?
Kweli Mimi ni Tanzania Tajiri lakini ombaomba
Ujue Kikwete huwa anaulizwa Whats wrong with you country?
Kwasababu Mungu ametujaalia Lasilimali zenye utajiri mkubwa sana ambazo Nchi nyingi sana za ulaya zimeendelea kupitia Lasilimali hizi za Tanzania. Sasa Kinacho Shangaza Mwizi anaendelea lakini mwenye nacho anakwenda kumuomba mwizi wake Msaada.
Hehehehe Tuna ongozwa na Raisi wetu kwenda kujitangaza kuwa sisi ni Ombaomba wakati Rasilimali tunazo nyingi tu.
Yaani Mapato tu ya Mbuga za Wanyama, zinatosha sana kwa kuiendeleza Tanzania hii, Bado sijaongelea Tanzanite, sijaongelea Migodi mingine around Tanzania, Bado sijauongelea Mlima Kilimanjaro, kuna vivutio vingi sana huko Kilombero, hadi Chemchem ya Ajabu ipo kule.
Lakini nini kinatufanya tuwe Ombaomba? Jibu unalo sasa tufanyeje? na kwanini hatufanya sasa?
Kweli Mimi ni Tanzania Tajiri lakini ombaomba