ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,455
Jamaa mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi ya kondakta ndani ya daladala ziendazo pwani alipata aibu ya aina yake
pale alipokuwa ameuchapa usingizi wakati alipokuwa kazini mambo yalikuwa hivi:-
abiria: nirudishie chenji yangu bhana nimefika mlandizi nataka kushuka, pasipo kutambua kuwa kondakta alikuwa amelala
fofofooooooooo huku akiegemea katika mlango mara hoo akashutuka na kuanza kusema
Kondakta: mmhm niache bana mm naona njaa kali wewe si unipe huo ugali alikuwa anaota ndoto mchana kweupe peee
mawazo yake alidhani yuko home kumbe ndani ya daladala jamani
abiria wote waliangua kicheko na ndipo alishtuka na kutema udenda mwaaaaaaaaaaa jamani abiria wote wakawa hoi kwa kicheko kwani kilikuwa kituko cha aina yake jamani haaaaaaaaaa
pale alipokuwa ameuchapa usingizi wakati alipokuwa kazini mambo yalikuwa hivi:-
abiria: nirudishie chenji yangu bhana nimefika mlandizi nataka kushuka, pasipo kutambua kuwa kondakta alikuwa amelala
fofofooooooooo huku akiegemea katika mlango mara hoo akashutuka na kuanza kusema
Kondakta: mmhm niache bana mm naona njaa kali wewe si unipe huo ugali alikuwa anaota ndoto mchana kweupe peee
mawazo yake alidhani yuko home kumbe ndani ya daladala jamani
abiria wote waliangua kicheko na ndipo alishtuka na kutema udenda mwaaaaaaaaaaa jamani abiria wote wakawa hoi kwa kicheko kwani kilikuwa kituko cha aina yake jamani haaaaaaaaaa