sisimizi babalao
Member
- Nov 19, 2012
- 14
- 3
Habari zenu waheshimiwa, poleni sana na majukumu kidunia na kitaifa ndugu zangu mimi ni mjasiriamali mdogo hapa tanzania niko katika harakati za kujikwamua katika maisha hivyo nimeanzisha kamladi kangu kakutengeneza mvinyo wa zabibu au (RED WINE)
Hivyo naombeni msaada wa kimawazo na maelekezo jinsi gani ntapata vifaa vya kuwekea yani Chupa yani (empty bottle) pamoja na vifaa vyaku bania chupa sehemu ya mfuniko(vifuniko vya WINE) hivi vitu ningependa mtu anisaidie kwa hapa tanzania vinapatikana wapi pia kwa bei gani naweza kuvipata?naombeni msaada kwa hilo wana JF wenzangu ntashkuru sana.
Hivyo naombeni msaada wa kimawazo na maelekezo jinsi gani ntapata vifaa vya kuwekea yani Chupa yani (empty bottle) pamoja na vifaa vyaku bania chupa sehemu ya mfuniko(vifuniko vya WINE) hivi vitu ningependa mtu anisaidie kwa hapa tanzania vinapatikana wapi pia kwa bei gani naweza kuvipata?naombeni msaada kwa hilo wana JF wenzangu ntashkuru sana.