Usindikaji wa mvinyo au (WINE)

Nov 19, 2012
14
3
Habari zenu waheshimiwa, poleni sana na majukumu kidunia na kitaifa ndugu zangu mimi ni mjasiriamali mdogo hapa tanzania niko katika harakati za kujikwamua katika maisha hivyo nimeanzisha kamladi kangu kakutengeneza mvinyo wa zabibu au (RED WINE)

Hivyo naombeni msaada wa kimawazo na maelekezo jinsi gani ntapata vifaa vya kuwekea yani Chupa yani (empty bottle) pamoja na vifaa vyaku bania chupa sehemu ya mfuniko(vifuniko vya WINE) hivi vitu ningependa mtu anisaidie kwa hapa tanzania vinapatikana wapi pia kwa bei gani naweza kuvipata?naombeni msaada kwa hilo wana JF wenzangu ntashkuru sana.
 
Nenda kioo ltd chang'ombe industrial area, jam jar botles wanauza kwanzia carton50, chupa yako yoyote unayo taka kutengenezewa wanaanza na idadi ya chupa zisizo pungua million mbili malipo advance robotatu ya garama kisha badae unamalizia, mifuniko utapata SIDO nyerere road. kazi kwako!
 
MSHIND:mkuu mbona hawa KIOO LIMITED kwasasa naskia wao awatengenezi chupa za mtu yeyote zaidi ya TBL tu.yani TBL wamewachukua kwa kazi zao tu.labda naomba unifungue kwa hilo pia tofauti na KIOO LTD akuna sehemu nyingine?
 
I smell success here

ukijipanga unatoka .... nakushauri utumie muda muafaka kupata mashine za kupack .... China is the best

kila la heri
 
Pita SIDO Makao Makuu na pia nenda TBS hawa wapo kwa ajili yetu sisi walipa kodi. Watakuelekeza vizuri sana kwani wana deal na wajasiriamali kila siku. Nakushauri pia ujikite sana kwenye kufanya utafiti kwa macho, uone ili ujue unataka kutoka vipi! Sawa? Endelea na utatoka tu.
 
Sido utapata kila.kitu mpaka mashine ya kuingizia cork pamoja na karatasi la juu ya chupa.
 
Hichi ndio kinacho nifanya nijivunie kuwa mtanzania kwa ukarimu mlio nionesha na msaada wenu dhahili shahili kuwa ninyi ni watanzania harisi nashkuru sana nashkuru ndugu zangu kwa muongozo wenu ngoja niyafanyie kazi mawazo yenu na ushauli.
 
Hichi ndio kinacho nifanya nijivunie kuwa mtanzania kwa ukarimu mlio nionesha na msaada wenu dhahili shahili kuwa ninyi ni watanzania harisi nashkuru sana nashkuru ndugu zangu kwa muongozo wenu ngoja niyafanyie kazi mawazo yenu na ushauli.

Asante kwa kushukuru
 
Habari zenu waheshimiwa,poleni sana na majukumu kidunia na kitaifa ndugu zangu mimi ni mjasiriamali mdogo hapa tanzania niko katika harakati za kujikwamua katika maisha hivyo nimeanzisha kamladi kangu kakutengeneza mvinyo wa zabibu au (RED WINE) hivyo naombeni msaada wa kimawazo na maelekezo jinsi gani ntapata vifaa vya kuwekea yani Chupa yani (empty bottle) pamoja na vifaa vyaku bania chupa sehemu ya mfuniko(vifuniko vya WINE) hivi vitu ningependa mtu anisaidie kwa hapa tanzania vinapatikana wapi pia kwa bei gani naweza kuvipata?naombeni msaada kwa hilo wana JF wenzangu ntashkuru sana.
Mrejesho vipi kiongozi??!
 
Habari zenu waheshimiwa, poleni sana na majukumu kidunia na kitaifa ndugu zangu mimi ni mjasiriamali mdogo hapa tanzania niko katika harakati za kujikwamua katika maisha hivyo nimeanzisha kamladi kangu kakutengeneza mvinyo wa zabibu au (RED WINE)

Hivyo naombeni msaada wa kimawazo na maelekezo jinsi gani ntapata vifaa vya kuwekea yani Chupa yani (empty bottle) pamoja na vifaa vyaku bania chupa sehemu ya mfuniko(vifuniko vya WINE) hivi vitu ningependa mtu anisaidie kwa hapa tanzania vinapatikana wapi pia kwa bei gani naweza kuvipata?naombeni msaada kwa hilo wana JF wenzangu ntashkuru sana.

Ulifanikiwa kiongozi?
 
Kufungua kiwanda bongo bora kuagiza hizo wine southafrica uje huku ulanguze ,unapunguza priduction cost
 
Kufungua kiwanda bongo bora kuagiza hizo wine southafrica uje huku ulanguze ,unapunguza priduction cost
Ila wine dodoma ni nyingi saana ukija unapata. Kwahiyo kama una mkwamo kwenye kuzalisha nunua kwa watz wenzetu ili kuukuza uchumi wetu
 
Back
Top Bottom