DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,452
- 99,079
Binafsi huwa sipendi kumkatisha mtu tamaa anaetaka kujenga.
Nikiulizwa gharama lazima nitashusha TU ili kumtia moyo Aianze safari.
Atakayokutana nayo,
atapambana mwenyewe uko uko mbele ya safari.
Mfano:
Kuna jamaa yang mmoja, ni mtumishi wa seirikali hajawahi kujenga kabisa.
Akasema anataka ajenge nyumba ndogo ya vyumba vitatu TU, jiko, stoo na sebure ikamilike kila kitu ahamie kabisa.
Nkamwambia, milion 10 inatosha kabisa.
Kaenda kachukua mkopo benk wa mil 11 kalianzisha.
Kainua boma,
Ela imeishia Kwenye kupaua TU.
Ananiuliza Mbona Ela imekata mapema,
Nkamjibu TU,
"Pambana mtu wangu, ujenzi huwa hauishi.
Ningekwambia Bei halisi hata ili pagare usingekua nalo.
Huo Ni mwanzo mzuri Sana"
Nikiulizwa gharama lazima nitashusha TU ili kumtia moyo Aianze safari.
Atakayokutana nayo,
atapambana mwenyewe uko uko mbele ya safari.
Mfano:
Kuna jamaa yang mmoja, ni mtumishi wa seirikali hajawahi kujenga kabisa.
Akasema anataka ajenge nyumba ndogo ya vyumba vitatu TU, jiko, stoo na sebure ikamilike kila kitu ahamie kabisa.
Nkamwambia, milion 10 inatosha kabisa.
Kaenda kachukua mkopo benk wa mil 11 kalianzisha.
Kainua boma,
Ela imeishia Kwenye kupaua TU.
Ananiuliza Mbona Ela imekata mapema,
Nkamjibu TU,
"Pambana mtu wangu, ujenzi huwa hauishi.
Ningekwambia Bei halisi hata ili pagare usingekua nalo.
Huo Ni mwanzo mzuri Sana"