Usimuonee huruma Mwanamke

Hahahahahhaahhha, nimekwambia tumia Maandiko ku prove mimi Rebecca siwezi kudumu kwenye ndoa,.....comprehension -VE inasoma, ....

Nakusubiri...
Umsubiri nani, wakati tabia zako zinajionesha dhahiri jinsi ulivyo au unataka malaika washuke chini ardhini wakwambie jinsi ulivyo?? Au dishi limeyumba
 
Mwambie bidada je mwanaume anapo provide kwa mwanamke ikiwa huyo mwanamke pia ana kazi yake na maisha yake inakuaje ni huruma?
...Huyo mwanaume ana provide kivipi kama hamuonei huruma huyo mwanamke...bunch of fools ambao hamuishi true to yourself...Unatoa hela kumbe kinakuuma, si usitoe...
 
Ndio wewe hapo, Nyeupe unaiita Nyeusu, kisa tu sijui kuna mdada gani huko alijeruhi hisia zako...worse unataka ulazimishe wanaume wenzio wote waone Nyeupe ni Nyeusi...

Unafikiri wanaume wa dizaini yangu tunaweza umizwa na wanawake?😂😂😂

Rebecca bhana mnapenda kujipa umuhimu msiostahili...
 
Umsubiri nani, wakati tabia zako zinajionesha dhahiri jinsi ulivyo au unataka malaika washuke chini ardhini wakwambie jinsi ulivyo?? Au dishi limeyumba
hahahha again Comprehension inasoma -VE!, yaani nilivyokuambia nakusubiri ukadhania nasubiria..mapu.mbu yako?!, eti jinsi nilivyo?? kuwachallenge kidogo unataka hadi msaada wa Malaika...hahahahah, usijihangaishe..siko hapa for self- validation reasons, usijihangaishe bure hautahitaji msaada wa Malaika kuniambia jinsi nilivyo....LOL
 
Unafikiri wanaume wa dizaini yangu tunaweza umizwa na wanawake?😂😂😂

Rebecca bhana mnapenda kujipa umuhimu msiostahili...
hahahahaahahahahaah....

Kwa kuwa wewe una Ngozi ya Kenge...huwezi kuumizwa...hahahhha

Yaani una prove maneno yangu ya kwanza, hujawahi ku experience Upendo, hakuna aliyekupenda, sijui uko Virgin?? lol..maanake jinsi ninavyokusoma ndivyo ninavyozidi kukuelewa....sababu kama ushawahi kuwa na relationships kuumizwa mbona ni kitu cha kawaida...

i agree huwezi kuumizwa na mwanamke, sababu hakuna mwanamke atakaweza kuinvest her time/emotions/love kwako, uko too confused mkuu.. utakufa single hakuna mwanamke anayejielewa atakuwa na wewe.. so kuumizwa, yes hautaumizwa na mwanamke..because you wont have any!
 
Onyo unapokaribia kuingia Nyeri
IMG-20220606-WA0010.jpg
 
Hujaelewa, eti pole ya kazi gani, umechoka exhausted, ukipewa pole hautafeel renewed, a sense of purpose kuendelea kuwa determined as familia/mkeo anakujali???..au umechoka, unafeel mkeo ha appreciate efforts unazoweka kazini..utakuwa motivated,utampenda???...is what it keeps us in check,kama una undermine 'Pole' jaribu mtu anayekuignore, au anakutusi, badala ya Pole anakuambia shenzi wewe, halafu uone effect yake the next day unaamka...unaenda kazini?

Kumpa mpenzi wako kitu ni expression of love, i agree.. ila hii expression, sio wewe unaye interpret ni yule unayempa, sio jukumu lako kujua ame interpret vipi ni huruma au upendo, ingawa bado nastress hivi vitu ..huruma na upendo..huwezi kuvitenganisha...huwezi kumpa kitu,kama unaona haihitaji huruma yako..no..unafiki..

Heshima/submission...ndio hio hio huruma yenyewe, huwezi kunipa kitu bila huruma nisiseme asante, halafu uone nimekuheshimu....
Madam, kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke. Tuna tafsiri mambo tofauti sana. Hizo soft talks ni za wanawake, nyie ndio mnapenda kuambiwa maneno ya kubembelezwa.

Mke wangu nikimpa kitu chochote ni katika namna ya kuonesha upendo na sio kwasababu namuonea huruma. Anavyotafsiri yeye ni juu yake.
 
Madam, kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke. Tuna tafsiri mambo tofauti sana. Hizo soft talks ni za wanawake, nyie ndio mnapenda kuambiwa maneno ya kubembelezwa.

Mke wangu nikimpa kitu chochote ni katika namna ya kuonesha upendo na sio kwasababu namuonea huruma. Anavyotafsiri yeye ni juu yake.

Mnhh..ngoja nipike mkuu nitakurudia...
 
Chukua time, next time, acha kuleta sumu zako humu basing on your subjective experiences, kama ume surrender kwenye huu mjadala then ni kivyako huko, dont intimidate me, nitawafunisha wanangu upendo kujali wengine..sababu nataka wawe rounded persons wasione watu wengine ni mazimwi!..bye sucker!
Mwanamke akiongea namna hii ni mbaya. Domestic violence inachochewa na maneno makali ya wanawake. I hope kwenye real life haufikii hii hali.
 
Hi comment inathibitisha maneno ya mtoa mada kuwa "Usiwe na huruma Kwa maana wanawake hupenda kuonewa huruma Kwa wale watu wasiowapenda"
Hakika mwanamke anaetaka kuonewa huruma na mwanaume tambua fika kuwa huyo mwanamke hana mapenzi na mwanaume.
Huu ni ukweli bila kupepesa macho. Ukiona mwanamke analia sana shida kwako na anafurahia pale tu unapompa kitu baada ya kukufanya umuonee huruma huyo haupo moyoni mwake.
 
Madam, kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke. Tuna tafsiri mambo tofauti sana. Hizo soft talks ni za wanawake, nyie ndio mnapenda kuambiwa maneno ya kubembelezwa.

Mke wangu nikimpa kitu chochote ni katika namna ya kuonesha upendo na sio kwasababu namuonea huruma. Anavyotafsiri yeye ni juu yake.

...Ni kweli tunatafsiri mambo tofauti. Na hapa hatutafika suluhu, wanawake tunapenda mambo ya kubembelezwa i agree, nani wakutumbembeleza kama sio nyie wanaume?!..au unataka tubembelezana wenyewe kwa wenyewe...????...

...labda mfano wangu wa pole, ulikuwa too way foward, na umewa annoy sababu nina deal na wanaume wanaoona kumuhurumia mwanamke is a sign of a wakness, ngoja nikupe scenario nyingine.....unasema wanaume hampendi kupewa encouraging words sababu nyinyi sio watu wa kuonewa huruma, na mimi nimekwambia hata nyinyi wanaume mnapaswa kuonewa huruma, kujaliwa , sababu kujaliwa makes our minds/heads in check...ngoja nikupe mfano mwingine ..unaenda msibani, Mume kafiwa na mkewe...hautampa pole??? sababu nyie wanaume huwa hampewi pole?!...au Wewe na Mkeo mnaumwa Cancer mko hospitalini, mtu anakuja anampa mkeo pole..halafu hakupi pole wewe mume...utamfikiriaje mtu wa hivyo...????...je ukiumwa wewe kama mwanaume ukipewa pole hupati relief ya aina yoyote..ile????

Ukimpa kitu mkeo, ni sign ya upendo i agree, lakini kwake yeye anaona amejaliwa, na kujaliwa ndio kuonewa huruma kwenyewe, bahati mbaya tunatafsiri hivyo... kwamba ukinipa khanga umenijali,umenionea huruma, wewe umetoa kama upendo, lakini receiver anaona umemjali, usingemjali usingenunulia khanga....Unanipenda,Unanijali,Unanionea huruma, can not be disintangled hio....it is what it is....
 
Mwanamke akiongea namna hii ni mbaya. Domestic violence inachochewa na maneno makali ya wanawake. I hope kwenye real life haufikii hii hali.

Domestic violence inachochochewa na maneno makali kutoka both parties!, na sio wanawake peke yake...dont justfy upuuzi mkuu... I'm annoyed, i have been called all sorts of names huoni,ila mimi tu ndio unaona nikiongea maneno makali :mad: :oops: ....nimekuwa annoyed even further kugundua hii ID ya Robert, more than one person anaitumia...NA ABISHE..
 
...Ni kweli tunatafsiri mambo tofauti. Na hapa hatutafika suluhu, wanawake tunapenda mambo ya kubembelezwa i agree, nani wakutumbembeleza kama sio nyie wanaume?!..au unataka tubembelezana wenyewe kwa wenyewe...????...

...labda mfano wangu wa pole, ulikuwa too way foward, na umewa annoy sababu nina deal na wanaume wanaoona kumuhurumia mwanamke is a sign of a wakness, ngoja nikupe scenario nyingine.....unasema wanaume hampendi kupewa encouraging words sababu nyinyi sio watu wa kuonewa huruma, na mimi nimekwambia hata nyinyi wanaume mnapaswa kuonewa huruma, kujaliwa , sababu kujaliwa makes our minds/heads in check...ngoja nikupe mfano mwingine ..unaenda msibani, Mume kafiwa na mkewe...hautampa pole??? sababu nyie wanaume huwa hampewi pole?!...au Wewe na Mkeo mnaumwa Cancer mko hospitalini, mtu anakuja anampa mkeo pole..halafu hakupi pole wewe mume...utamfikiriaje mtu wa hivyo...????...je ukiumwa wewe kama mwanaume ukipewa pole hupati relief ya aina yoyote..ile????

Ukimpa kitu mkeo, ni sign ya upendo i agree, lakini kwake yeye anaona amejaliwa, na kujaliwa ndio kuonewa huruma kwenyewe, bahati mbaya tunatafsiri hivyo... kwamba ukinipa khanga umenijali,umenionea huruma, wewe umetoa kama upendo, lakini receiver anaona umemjali, usingemjali usingenunulia khanga....Unanipenda,Unanijali,Unanionea huruma, can not be disintangled hio....it is what it is....
Wanaume hatutaki at any time kuwa victims au kuonewa huruma. Mwanaume anaweza kupewa msaada if and only if akiuomba. Kinyume na hapo ataona unamletea dharau.

Mtu akienda kumuona mwanaume aliyelazwa hospitali na kupiga stori hapo ina maana kubwa kuliko kuleta sura za huruma na kusema pole.

Changamoto wewe unataka mwanaume awe na response sawa na mwanamke kwenye hizo intangible and emotional things. Hatuko hivyo.
 
Domestic violence inachochochewa na maneno makali kutoka both parties!, na sio wanawake peke yake...dont justfy upuuzi mkuu... I'm annoyed, i have been called all sorts of names huoni,ila mimi tu ndio unaona nikiongea maneno makali :mad: :oops: ....nimekuwa annoyed even further kugundua hii ID ya Robert, more than one person anaitumia...NA ABISHE..
Emotional intelligence ni somo la muhimu sana. Haijalishi mtu amesema nini, ni vizuri kubakia calm. Mimi nina policy moja, your opinion is your own property. Yaani mtu anamiliki hata yale mawazo na maneno negative anayoyaongea against me kwasababu hayo maneno ni yakwake.
 
Wanaume hatutaki at any time kuwa victims au kuonewa huruma. Mwanaume anaweza kupewa msaada if and only if akiuomba. Kinyume na hapo ataona unamletea dharau.

Mtu akienda kumuona mwanaume aliyelazwa hospitali na kupiga stori hapo ina maana kubwa kuliko kuleta sura za huruma na kusema pole.

Changamoto wewe unataka mwanaume awe na response sawa na mwanamke kwenye hizo intangible and emotional things. Hatuko hivyo.

Mnhhhh yaani kuonewa huruma ni kuwa victim, wonders shall never end..

Mwanaume anaweza kupewa msaada akiuomba, atauombaje kama anajua hakuna atakayemuhurumia?? maana nyinyi mna insist hakuna kuoneana huruma...sasa kama ndani ya jamii hakuna kuoneana huruma hata huyu mwanaume atauombaje huo msaada...??? ...Na kwa hio mkeo, akinunulia labda kitu chochote unachokipenda amekudharau? sababu hujamuomba?..mnh....

Mnh inabidi mkuu uache ujuaji, jifunze vitu vingi simple around you sio lazima ukae darasani ujifunze formally, ukienda hospitali huwezi ukaenda tu ukapiga stori, pole is socially constructed, huendi kanisani na kusema pole kwa padri, ila ukienda hospitali kitu cha kwanza baada ya salamu ni pole, bisha ukatae , sawa tu..lakini pole/language ina serve some purpose in our lives..pole ni neno la faraja...na halihusiani na gender...ni pole kwanza ndio stori, na sio kwenda hospitali na kupiga stori kama uko bar na kusahau kuwa wale ni wagonjwa,..ukienda kupiga stori tu na kuondoka, bila kusema pole inamaanisha umeignore the fact kwamba wako kwenye maumivu.....pole ni sawa na kusema naelewa maumivu unayopitia.....

Sentensi ya Mwisho, sijaielewa, please kwa faida yangu na wanaofuatilia mjadala huu..fafanua...Je mwanaume haruhusiwi ku express emotions as this is a sign of a weakness? au nimekupata sivyo...
 
Emotional intelligence ni somo la muhimu sana. Haijalishi mtu amesema nini, ni vizuri kubakia calm. Mimi nina policy moja, your opinion is your own property. Yaani mtu anamiliki hata yale mawazo na maneno negative anayoyaongea against me kwasababu hayo maneno ni yakwake.

Thanks nimejifunza kitu, ila sometimes,uelewe ni ubinadamu ku react unapokuwa provoked...
 
Back
Top Bottom